jamani wana jf,tunawashukuru wale wote ambao kwa wakati wote wamekua wakitupa ushauri mzuri kuhusiana na masomo japo si wote tafadhari msituchoke, naomba mtu yeyote mwenye notes za pcb pamoja na maswali atusaidie kama anayo basi atuandikie link HAPA tuyadownload na kuyaona ili tuyatumie NB;kama huna mchango wowote ni afadhali uache kuuza sura hapa!!! ona aibu basi