Mwanamme atakaefatisha huu uzi indeed atapotea. Doesn't make sense at all.
1. So mwanamke asiwe msomi?
2. Asiwe matawi hata kama kazaliwa kuzuri na haiwezi kufichika??
3. Asiombe hela? What nonsense is this?
4. Ukishawajua familia yake na ofisini then what?
5. Here we go again, watoto wa single parents watengwe.
No point reading till the end.
Kwa kifupi tu tuseme MWANAUME WAEPUKE WANAWAKE
Ni kweli, wanawake wema tupo kama mimi mwanaume alienipata hakika kaokota dhahabuHapana sijasema wanawake hawaepukiki..ila.kinachotakiwa Ni kifanya chaguo sahihi. Mbona wapo wanawake wazuri Sana ten Sana kuliko ninavyoweza kueleza. Ndio maana biblia inasema anayepata mke na sio mwanamke tu amepata kitu chema.
Tatizo liko kwenye uchaguzi sahihi maana sio kila mwanamke anaqualifya kuwa mke. Na HayA yapo kwenye jamii yetu sana. Itakuwa sio sawa tukifumba macho Kama hayuyaoni