Kwa waliochanja Chanjo ya CORONA Njoni mtoe uzoefu Ili tupime ufanisi.

nilichanja ile ya mchina hadi wa leo sina madhara yoyte sijui huko mbeleni lkn kwa sasa nipo good
Ok vizuri, lakini Kwakuwa miaka mitatu tangu Chanjo iingie na watu kuchanja inaisha July Hadi December hapo 2024,

Usisite kuleta mrejesho ikiwa utakumbana na sintofahamu yoyote.

Tunataka kujua ufanisi, faida na HASARA za Chanjo ya CORONA katika miili ya ndugu zetu Watanzania.
 
Si Kweli,

Mtu mwenye utimamu wa akili, wasiwasi ndo akili yenyewe.

Zile zilikuwa Chanjo za majaribio, hivyo ni HAKI kuzitilia shaka.
Hazikuwa chanjo za majaribio, majaribio yalifanyika kwanza kabla ya kuletwa rasmi kwa watu wengi.
 
Fafanua kidogo,

Umesema kuwa baada ya kuchanja, una zaidi ya miaka miwili hupati homa na mafua.
Kabla ya kupata chanjo nilikuwa dhaifu sana nikipata mafua. Naweza nisiende kabisa kazini au nikaenda hospitali naambiwa hiyo ni kwa sababu ya mafua napewa dawa. Joto kali na kusikia baridi mwilini, kichwa kuuma unaweza fikiri naumwa malaria sio mafua.

Hali hii ininifanya niwe makini sana kutoambukizwa mafua maana nilikuwa naujua mziki wake nikiumwa. Akiumwa yeyote nyumbani alikuwa anahakikisha mwenyewe yuko mbali nami akinionea huruma ili asije niambukiza hayo mafua.

Lakini kwa sasa hiyo hali haipo tena. Nyumbani wataumwa wote lakini kwangu hapana na nikiyapata yakuwa ya kawaida ambayo hupotea bila kujua kama nilikuwa ninamafua.

Suala la chafya hilo halihusiani na chanjo Mkuu. Kama mwili wako unafanyakazi vizuri lazima upige chafya wakati mwili anapodai hiyo huduma.
Nafikiri utakuwa umenielewa sasa ndugu Rabbon

Asante Sana
 
Mathanzua na gwajiboi wakiuona huu uzi watasonya na kutokwa na povu sana.
Hata Mimi sijachanja na AFYA yangu Iko sawa tu.

Tunataka tu kujua ikiwa Chanjo imeleta tofauti yoyote kwenye AFYA za Watanzania wenzetu, positive na negative.
 
Kabla ya kupata chanjo nilikuwa dhaifu sana nikipata mafua. Naweza nisiende kabisa kazini au nikaenda hospitali naambiwa hiyo ni kwa sababu ya mafua napewa dawa. Joto kali na kusikia baridi mwilini, kichwa kuuma unaweza fikiri naumwa malaria sio mafua.

Hali hii ininifanya niwe makini sana kutoambukizwa mafua maana nilikuwa naujua mziki wake nikiumwa. Akiumwa yeyote nyumbani alikuwa anahakikisha mwenyewe yuko mbali nami akinionea huruma ili asije niambukiza hayo mafua.

Lakini kwa sasa hiyo hali haipo tena. Nyumbani wataumwa wote lakini kwangu hapana na nikiyapata yakuwa ya kawaida ambayo hupotea bila kujua kama nilikuwa ninamafua.

Suala la chafya hilo halihusiani na chanjo Mkuu. Kama mwili wako unafanyakazi vizuri lazima upige chafya wakati mwili anapodai hiyo huduma.
Nafikiri utakuwa umenielewa sasa ndugu Rabbon

Asante Sana
Hapo nimekusoma😀
 
Watengeza Chanjo wenyewe waliokiri kuwa Chanjo huambatana na kuganda Damu Kwa baadhi ya watu,

Hukusikia Hilo?
Uongo, hazikuwa chanjo zote, ilikuwa ni chanjo moja tu ya J&J na risk yake ilikuwa ni mtu mmoja tu kati ya watu milioni moja watakaopata hiyo chanjo.
 
Nonsense unakula bange nini
Nonsense kwako ni SENSE Kwa wengine,

Kwamba unashangaa kukwambia alimwambia Yesu aongozane naye Ili kumlinda katika process ya Kupata Chanjo na baada ya Chanjo?

Yesu huongozana wamwaminio kupitia Roho wake mtakatifu.
 
Hata Mimi sijachanja na AFYA yangu Iko sawa tu.

Tunataka tu kujua ikiwa Chanjo imeleta tofauti yoyote kwenye AFYA za Watanzania wenzetu, positive na negative.
Faida positive ya chanjo ilikuwa ni kuzuia tu kupata Corona au madhara yake makali faida nyingi ni ziada tu.
 
Watu walilishwa sumu sana kuhusu chanjo, wengine walilihusisha hata na mambo ya imani kitu ambacho hakikuwa sana kabisa.

Mbona hata dawa za malaria watu zinawaletea shida na wengine kupoteza hata uwezo wa kuona na wapo waliokuwa pia kwa sababu ya matumizi ya dawa mbalimbali lakini bado dawa hizo wengine tunazitumia mpaka leo na wala hazija tuletea shida yeyote.
Nafikiri uelewa wa watu ulikuwa mdogo kuhusu hizo chanjo.
 
Watu walilishwa sumu sana kuhusu chanjo, wengine walilihusisha hata na mambo ya imani kitu ambacho hakikuwa sana kabisa.

Mbona hata dawa za malaria watu zinawaletea shida na wengine kupoteza hata uwezo wa kuona na wapo waliokuwa pia kwa sababu ya matumizi ya dawa mbalimbali lakini bado dawa hizo wengine tunazitumia mpaka leo na wala hazija tuletea shida yeyote.
Nafikiri uelewa wa watu ulikuwa mdogo kuhusu hizo chanjo.
Hakika, kuna vilaza wengi sana wakina Gwajiboi, wachingaji uchwara, conspiracists kama kina Mathanzua n.k
 
Uongo, hazikuwa chanjo zote, ilikuwa ni chanjo moja tu ya J&J na risk yake ilikuwa ni mtu mmoja tu kati ya watu milioni moja watakaopata hiyo chanjo.
Una huo ushahidi wa rate ya Mtu 1 Kwa 1,000,000?

Ninakoishi case za kuganda Damu na kufariki tulizika watu wawili.

Wewe una data?
 
Nonsense kwako ni SENSE Kwa wengine,

Kwamba unashangaa kumwambia alimwambia Yesu aongizane naye Ili kumlinda katika process ya Kupata Chanjo na baada ya Chanjo?

Yesu huongozana wamwaminio kupitia Roho wake mtakatifu.
Punguza kujieleza mdogo wangu
 
Hakika, kuna vilaza wengi sana wakina Gwajiboi, wachingaji uchwara, conspiracists kama kina Mathanzua n.k
Japo ni kawaida.
Nakumbuka miaka ya nyuma kuna wahubiri wapingana na matumizi ya computer kuwa zinahusiana na mpinga Kristo lakini leo hakuna dhehebu ambalo hakuna muamini hata mmoja ambae haitumii hiyo computer au smartphone
 
Back
Top Bottom