Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,676
- 46,355
Ikiwa ni takribani miaka minne tangu watu waanze kupata chanjo ya Corona kuna mtu yeyote aliyegeuka zombi tangu achomwe chanjo ya Corona kama wapinga chanjo wengi mfano Gwajima walivyokuwa wakitabiri?
Kwa mliowahi kuchomwa chanjo ya Corona mmpetawa na hali gani hasa mbaya ambayo mnaihusisha na chanjo hiyo?
Kwa mliowahi kuchomwa chanjo ya Corona mmpetawa na hali gani hasa mbaya ambayo mnaihusisha na chanjo hiyo?