Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Wanaochora hizo picha hata Yesu walimchora mzungu!
Hata Muhammed kwenye ile movie iliyozua kasheshe alikuwa mzungu pia... Sijui tumuamini nani?
Wanaochora hizo picha hata Yesu walimchora mzungu!
Hata Muhammed kwenye ile movie iliyozua kasheshe alikuwa mzungu pia... Sijui tumuamini nani?
Unayahitaji Mkuu Kennedy Majini ya kufuga? wasiliana na Maalim wangu anaye itwa Maalim Hassan namba yake ya simu hii hapa +255645017777
Mr me sina tatizo na kitabu chako ila ni kosa kubwa kwa Mungu ninaemwabudu mimi kwa mujibu wa Biblia au NENO ku-corrupt NENO ambavyo siyo halali kama ulivyofanya kwa kitabu cha 1wafalme 5:13-17 ambapo nukuu uliyoiandika haipo sio tu kwenye kitabu cha WAFALME bali kwenye Biblia yote hapana ushirika wa namna yeyote kati Mungu na majini wala roho zote chafu kutoka kuzimu.
beside kiwe namikono ya watu au miguu haijalishi NENO ni nyundo ivunjayo mawe vipande vipande [ikiwa ni pamoja na hayo mapepo]na pia NENO lasema; NENO la MSALABA kwa wao wanaopotea ni upuuzi bali sisi tunaokombolewa ni Nguvu ya Mungu.