kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,714
mkuu kuna tofatauti gani kati ya majini na viumbe toka sayar za mbali maarufu kama aliens.nimewahi ku google na kukutana na habari kuwa taifa kubwa marekani huwatumia sana hawa aliens ktk maabara zake za siri kubuni technology mbalimbali za kijeshi.je kuna tofauti yoyote ya hao viumbe?