Kwa wale wasiogopa majini angalieni hizi picha za majini

Haya mambo ndio kisa bongo mnaua albino wazee na vikongwe, watoto wenu na kuwa maskini, wenzenu wameacha nyie ndo mnakomalia, no wonder mikataba mibovu na ufisadi unafanywa kiulaani
 
536628_390412344345009_779945728_n.jpg



JINI CLAUNECK;
Jini huyu ana Nguvu na Mamlaka juu ya Vitu na Utajiri,
Anaweza Kuvumbua Hazina iliyofichwa, kwa yeyote atakayeweka Mkataba nae,
Ana uwezo wa Kumzawadia Mtu Utajiri mkubwa kwani yeye anapendwa sana na Lucifer,
Ana uwezo wa kukuletea Pesa kutoka mbali,
Mtii naye atakutii!

Je unahitaji kuzungumza nae
 
536628_390412344345009_779945728_n.jpg



JINI CLAUNECK;
Jini huyu ana Nguvu na Mamlaka juu ya Vitu na Utajiri,
Anaweza Kuvumbua Hazina iliyofichwa, kwa yeyote atakayeweka Mkataba nae,
Ana uwezo wa Kumzawadia Mtu Utajiri mkubwa kwani yeye anapendwa sana na Lucifer,
Ana uwezo wa kukuletea Pesa kutoka mbali,
Mtii naye atakutii!

Je unahitaji kuzungumza nae

Shindwa katika jina la YESU KRISTO WA NAZAREZI ALIYE HAI MOTO WA MBINGU UKUCHOME NA UKUUNGUZE .
 
kwann isiwekwe formerly kila mwenye interest ajifunze kma nnavo enda jifunza udereva

Sio kila kitu kinaweka formally mimi nasema jifunze kila kitu kwa kadiri ya uwezo wako lakini practice vile vyenye manufaa na visivyo na madhara, Mimi leo ukiniambia kuhusu dini za dunia hii hunidanganyi chochote, ukiniambia kuhusu uchawi wanga ulozi na majini bado huwezi kuniongopea unajua nikwanini kwasababu nilijifunza na somehow nikapractice
 
Sio kila kitu kinaweka formally mimi nasema jifunze kila kitu kwa kadiri ya uwezo wako lakini practice vile vyenye manufaa na visivyo na madhara, Mimi leo ukiniambia kuhusu dini za dunia hii hunidanganyi chochote, ukiniambia kuhusu uchawi wanga ulozi na majini bado huwezi kuniongopea unajua nikwanini kwasababu nilijifunza na somehow nikapractice

Ishu za majin zimekuwa za kusadikika sana kiasi mtu kma mie ambae sijawah kukutana na jini wala kumwona inakuwa ngumu kuamini

Hta hya maelezo ya mzizi mkavu naona kma riwaya nzuri ya kusisimua

Kma kweli wapo tupewe elimu mchana kweupe tuelewe kuwa nikitaka Mwita jini nafanya a b c d anakuja
 
Baadhi ya majini wanafanana na Ccm
165917_402719599780950_1237991812_n.jpg


Ukiwakosea MAJINI huwa wanakufanya hivi.............. huyu ni jini ambaye amefanya makosa sasa wenziwe wanabuadhibu..............<wbr style="color: rgb(20, 24, 35); font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; line-height: 18px;">..
 
542928_401171596602417_1175807121_n.jpg


Je unajua Majini hawa wanafanya nini ukipata jibu nitakupa zawadi....................<wbr style="color: rgb(20, 24, 35); font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; line-height: 18px;">.....
 
542928_401171596602417_1175807121_n.jpg


Je unajua Majini hawa wanafanya nini ukipata jibu nitakupa zawadi....................<wbr style="color: rgb(20, 24, 35); font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; line-height: 18px;">.....

Sherehe ya mmoja wao kusimikwa au kupandishwa daraja lakini vilevile yaweza kuwa kusanyiko la kula kafara
 
Ishu za majin zimekuwa za kusadikika sana kiasi mtu kma mie ambae sijawah kukutana na jini wala kumwona inakuwa ngumu kuamini

Hta hya maelezo ya mzizi mkavu naona kma riwaya nzuri ya kusisimua

Kma kweli wapo tupewe elimu mchana kweupe tuelewe kuwa nikitaka Mwita jini nafanya a b c d anakuja

Mimi najitolea kufanya hivyo lakini uwe tayari kwa masharti
 
542928_401171596602417_1175807121_n.jpg


Je unajua Majini hawa wanafanya nini ukipata jibu nitakupa zawadi....................<wbr style="color: rgb(20, 24, 35); font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; line-height: 18px;">.....

Kumbe wewe mwanga njoo ufanyiwe maombi uokoke achana na hayo makitu tangaza injili au kama ni mwisilamu ongoka bado hujachelewa wakati ndio huu.
 
Back
Top Bottom