bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Visanga vya mpira wa Tanzania havitakaa viishe, nimemsikia msemaji wa Simba akisema kuna majini wazuri na wabaya kwa Imani yangu ni Big No majini ni roho chafu zilizoasi mbinguni na kutupwa Motoni.
Swali la kujiuliza je msemaji wa Simba anatumia majini wazuri, kama kama msemaji anaishi kwa itikadi hizo za kuamini kwenye majini wazuri na vipi je timu nzima ya Simba.
Hakika mpira wetu una safari ndefu sana kwanini tumetokea kuishi na kuamini sana kwenye uchawi? Ingekua majini/ uchawi unacheza mpira hakika kuna nchi wangebeba makombe yote makubwa tunayoyafahamu.
Hii ni shida sana kwa wachezaji wa kiafrika hawataki kuamini katika mazoezi bali kwenye ushirikina nakumbuka Emanuel Adebayor alipata kusema mama yake mzazi anamloga ili asifunge kwa maisha ya wachezaji wa kiafrika hii ni kawaida sana.
Mchezaji anashinda kidimbwi kesho na kesho kutwa vikimshinda anakimbilia kwa waganga wa kienyeji hivi wewe ukienda kwa mganga wa kienyeji hata kama ni kikohozi cha kutumia Mucolyn tu atakwambia umetupiwa jibu.
Nlitegemea msemaji wa Simba aje na kauli za kupinga huu upumbavu ili yeye anajinadi eti wamenunua kesi ya Mayele na kuna majini wazuri na wabaya.
My country people tuna safari ndefu sana ya kutoka hapa tulipo.
Ni hayo tu
Swali la kujiuliza je msemaji wa Simba anatumia majini wazuri, kama kama msemaji anaishi kwa itikadi hizo za kuamini kwenye majini wazuri na vipi je timu nzima ya Simba.
Hakika mpira wetu una safari ndefu sana kwanini tumetokea kuishi na kuamini sana kwenye uchawi? Ingekua majini/ uchawi unacheza mpira hakika kuna nchi wangebeba makombe yote makubwa tunayoyafahamu.
Hii ni shida sana kwa wachezaji wa kiafrika hawataki kuamini katika mazoezi bali kwenye ushirikina nakumbuka Emanuel Adebayor alipata kusema mama yake mzazi anamloga ili asifunge kwa maisha ya wachezaji wa kiafrika hii ni kawaida sana.
Mchezaji anashinda kidimbwi kesho na kesho kutwa vikimshinda anakimbilia kwa waganga wa kienyeji hivi wewe ukienda kwa mganga wa kienyeji hata kama ni kikohozi cha kutumia Mucolyn tu atakwambia umetupiwa jibu.
Nlitegemea msemaji wa Simba aje na kauli za kupinga huu upumbavu ili yeye anajinadi eti wamenunua kesi ya Mayele na kuna majini wazuri na wabaya.
My country people tuna safari ndefu sana ya kutoka hapa tulipo.
Ni hayo tu