Kwa wale mnaotumia simu kubrowse,msaada huu hapa ili uweze kuifaidi jf vizuri

mkuu imekubali.asante sana hata ile likes naona ipo.unaweza kutumia vikaragosi.tatizo niloliona ni kureply thread.wanakuambia umeandika maneno machache.sijui wanataka uandike gazeti!.lakini inaifunika pc mode ya jf.ngoja niendelee kusubili pc mode ya jf hapa bolt.mia

duh! Watu hamchelewi.
 
mkuu , je na kwenye tab inakubali

android on GalaxyTab

asante

mkuu samahani kwa usumbufu, tayari nimeipata bolt browser kwenye applications databank ya android @ GalaxyTab and it is free download application,

asante kwa kuniamsha usingizini, ninadownload right now and will give you update
 
huo utundu tunao sana tu, tatizo la Bolt, kwenye simu original hasa za Nokia zinatoa warning kwa kuwa Bolt haipo secured, na haijasajiwa kama browser salama. Pia Bolt haiwezi ku-upload picha na kubadili avatar, ukibadili Jf inakataa na kusema haipo secured so inabidi uweke password upya. Njia nzuri ni kutumia UC browser, nenda kwenye settings and badili 'WAP' iweke 'WEB' utaweza kufanya kila kitu. Pia Bolt ukitumia facebook marafiki wanaonyeshwa kuwa upo online. Tunachokitaka hapa ni JF PC MODE irudishwe. Kwa kutumia Opera ilikuwa imetulia sana na unaweza mpaka kubadili avatar.


Kwa wanaotaka kui-download Bolt Browser wafungue hapa:

www.boltbrowser.com

kuifanya iwe secured unaifanya iwe difault browser kwa kutumia netquin mobile guard or antivirus. Pia nashukuru kwa hiyo mbinu ya ya uc kuchange hiyo web kutoka wap, kinachonikera bolt maandishi ni madogo mno,but kuna haja ya mods kurudisha ile jf pc mode.sijui ni sababu gani imewafanya waitoe,any way huenda wanaiboresha.
 
huo utundu tunao sana tu, tatizo la Bolt, kwenye simu original hasa za Nokia zinatoa warning kwa kuwa Bolt haipo secured, na haijasajiwa kama browser salama. Pia Bolt haiwezi ku-upload picha na kubadili avatar, ukibadili Jf inakataa na kusema haipo secured so inabidi uweke password upya. Njia nzuri ni kutumia UC browser, nenda kwenye settings and badili 'WAP' iweke 'WEB' utaweza kufanya kila kitu. Pia Bolt ukitumia facebook marafiki wanaonyeshwa kuwa upo online. Tunachokitaka hapa ni JF PC MODE irudishwe. Kwa kutumia Opera ilikuwa imetulia sana na unaweza mpaka kubadili avatar.


Kwa wanaotaka kui-download Bolt Browser wafungue hapa:

www.boltbrowser.com

ila mkuu pamoja na mapungufu ya bolt uliainisha but ni tofauti na uc or opera, hii iko kama mozilla na chrome, unaweza kufungua double web application at the same eg yahoo na jf na haikulazimu kufunga one application ili ufungue nyingine, unachofanya ni ku add tu kwenye kale kaalama ka kujumlisha(+) unafungua new window for bowsing.
 
Thanks for invaluable information. Umetusaidia wengi mkuu! Tungekuwa na watu wenye msaada kama wewe nadhani JF ingekuwa chanzo kikuu cha mabadiliko Tanzania. Lakini wengi humu wamekalia umbea, udini na kushangilia vyama tu.

Ha! Ha! Ha! Mkuu nilisikia juzi kuwa eti umejivua gamba! Je ni kweli au ndio huu umbea unaousema?
 
mh! mimi na ka VIVA kangu ka India sijui hata pa kuanzia, visaidieni jamani vimenishinda, ina aplication zote za blackberry
 
Thanks for invaluable information. Umetusaidia wengi mkuu! Tungekuwa na watu wenye msaada kama wewe nadhani JF ingekuwa chanzo kikuu cha mabadiliko Tanzania. Lakini wengi humu wamekalia umbea, udini na kushangilia vyama tu.

umejaribu ikakubali kwenye simu yako? Au waongea tu?
 
jamani security yake imekaaje? Reputation ya coders?
 
huo utundu tunao sana tu, tatizo la Bolt, kwenye simu original hasa za Nokia zinatoa warning kwa kuwa Bolt haipo secured, na haijasajiwa kama browser salama. Pia Bolt haiwezi ku-upload picha na kubadili avatar, ukibadili Jf inakataa na kusema haipo secured so inabidi uweke password upya. Njia nzuri ni kutumia UC browser, nenda kwenye settings and badili 'WAP' iweke 'WEB' utaweza kufanya kila kitu. Pia Bolt ukitumia facebook marafiki wanaonyeshwa kuwa upo online. Tunachokitaka hapa ni JF PC MODE irudishwe. Kwa kutumia Opera ilikuwa imetulia sana na unaweza mpaka kubadili avatar.


Kwa wanaotaka kui-download Bolt Browser wafungue hapa:

www.boltbrowser.com

please naomba unisaidie alipo ulipo unaenda kweny setting unabadi wap kuwa web..mimi sijaelewa mkuu,maana kwangu hiyo bolt imegoma inakataa pin code
 
dah nani kasema opera na ucweb huon full web? Ni just setting zako tu click menu then setting then angalia browser yako iko mobile format au web format then enjoy

hio bolt mtakoma inafuta text utafkiri ina kifutio cha china idownloadini mtakubaliana na mimi
 
ila mkuu pamoja na mapungufu ya bolt uliainisha but ni tofauti na uc or opera, hii iko kama mozilla na chrome, unaweza kufungua double web application at the same eg yahoo na jf na haikulazimu kufunga one application ili ufungue nyingine, unachofanya ni ku add tu kwenye kale kaalama ka kujumlisha(+) unafungua new window for bowsing.

mbona hata Opera 6.1 unaweza kufungua page kibao tu kwa pamoja.
 
please naomba unisaidie alipo ulipo unaenda kweny setting unabadi wap kuwa web..mimi sijaelewa mkuu,maana kwangu hiyo bolt imegoma inakataa pin code

fungua Uc Browser yako,

select 'Menu'> 'Settings'> then select 'Preferences' > utaona choice imeandikwa 'Network User Agent' ukiichagua utapewa choice tatu 1.No, 2.Wap UA 3.Web UA... Chagua 'Web UA' then save setting.. Page zote zitakuwa katika format ya Web na sio Wap tena. Ukishindwa niPM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom