tatizo la waswahili bana, mie nimeomba casual outing kwa ajili ya kubadilishana uzoefu na mjukuu wangu Ciello nikijikumbusha mambo ya zamani na ya siku hizi, lakini nyie mnawaza mambo ya KISHETANI....
Mbona kimya jamani au mmelala...............
Duh, ama kweli ngoma ya watoto haikeshi, yaani chit chart ndio imepooza hivi..
hivi we baba Cantalisia hujui Ciello ni maiwaif wa mt? Kalaghabao na ubozi wako.
wow! siamin giv m 5mints nimalizie kujipiga unyunyu ,ila nashera hotel no. Wasije wakatumalima lolDuh, Ciello, hilo pozi nitasalimikam kweli....................Haya mie niko hapa nje nakusubiri, twen zetu Morogoro, tukajifiche NASHERA HOTEL
niache manoah huyu mzee mi hata simwelewi
hapa ni mwendo wa Kahawa na stori tu, nitakuwa ninaweka appointment kila mtu na muda wake.......
Weka appointment yako kama tukutane wapi......LOL
Ciello we hunijui naona!manake toka asubuhi nakuonya na huyu mzee husikii,sasa ndo mmeshapanga na hoteli kabisa!:target::target::A S angry::fencing::target::target::fencing::fencing:wow! siamin giv m 5mints nimalizie kujipiga unyunyu ,ila nashera hotel no. Wasije wakatumalima lol