mwaJ shosti kibabu noma hiki usikiapie hivo!oh shaurilo!anaweza kukurushia kitu chenye ncha kali oh
We mdada unalalaga saa ngapi?mzee Mtambuzi taratibu baba., naona unatokwa povu kweli, we kubaliana na hali halisi tu no option!!!!!!
We mdada unalalaga saa ngapi?
mh,kwani vipi shosh. mbna hyo comment nimekomment asbh? afu kwanini ulinidanganya? mekugaya. . .
Au nimeangalia vibaya nimecheki kama midnight hivi. Umenigwaya nini mwenzio, mambo yalienda ndivyo sivyo yaani ilikuwa valuvalu nitakueleza lakini
hao watakuwa ni sweetlady na mwenzie Mamzalendo wanasema my waifu wangu marejesho. Huyo anayewaangalia ni Madame B tu huyo! Lol...