mie juice ya ukwaju yatoshahaya karibu bi dada, je utakunywa knywaji gani, nakuomba usiagize liquor, bajeti inabana mwenzio, hapa ni mwendo wa vi juice juice au soda
nimemwita ili nipate chance ya kunywa dompo mida hii na juice ya ukwaju inahuuu!wewe unataka kuharibu mtoko sasa... Yule ninavyomjua akija hapa atanifilisi maana kwa kugida Gin and Tonic, hafai
Haya yule aliyekosa mtoko ajitokeze tusongeshe....................
Shhhh..... mama Ngina kalala.>>>>>>>LOL
yah nikupata!mwenyewe nimekuona mida ili nilikuwa sijapata swagga za kutokeaLeta habari bibie, unajua nilikuwa nakuonaga hapa JF tangu zamaaani sana, sema tu nilikuwa sijapataga wakati muafaka wa kutiririka...Sijui umenielewaa.......LOL