GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,182
Kwa Kawaida Makomandoo wa Yanga SC na hasa Mganga wao Hatari hupenda Kutangulia (Kuwahi) Mkoa ambao Yanga SC inacheza kisha wanaanza Kuufanyia Umafia na Uchawi (Ndumba) Uwanja ambao Utachezewa.
Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%
Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.
Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.
Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.
Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.
Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.
Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.
Cc: Fundi mahiri wa ujenzi
Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%
Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.
Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.
Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.
Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.
Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.
Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.
Cc: Fundi mahiri wa ujenzi