Kwa sasa chama cha siasa ambacho kimepoteza mvuto kabisa ni CHADEMA, haipo tena kwenye mioyo ya watu

Sasa mnapanick nini .....!!? Tuacheni tufanye Maandamano yetu muone.
Maandamano yakifanywa na Chadema ni fujo, lakini yakifanywa na CCM kumpongeza Samia kwa kuzuia maandamano ya Chadema hiyo ni demokrasia. Mpuuzi mmoja anakwambia Chadema imepoteza mvuto wakati ni chama pekee tishio kwa chama cha mafisadi.
 
Pumbafuuuu wewe lumumba
Sikuwa nategemea kingine kwani sera zenu ni matusi na kejeli.Zilianza kwa viongozi wenu na nyie mnaendelea nazo hamna cha ajabu.Aluta Continua genge la matusi na kejeli.
 
Mleta mada kama ulijichanganya na ukabebeshwa tumbo na kijana wa chadema hayo yalikuwa ni makubaliano yenu msikiingize chama kwenye shidabzenu wakati mnatafutanana hamkuleta muhtasari ofisini Wala Kwa kiongizi yeyote na huyo chotara utakaemleta duniani utamleta cdm kwenye asili yake Ili asigeuke kuwa chawa
 
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Usijifanye chizi wakati mungu amekupa akili itumie vizuri akili Ni neema unasemaje chadema imepoteza mvuto wakati Kila saa unaitaja chadema kama mvuto Haina mbona utaji chama chako ccm chama kilichopoteza mvuto hata kama kikitoa tamko watu hawashughuliki nacho kakini hio chadema unaosema imepoteza mvuto ikiongea kidogo viongozi wa chama chako wanapagawa wanatoa matamko mbalimblia mara tutafanya usafi masaa 24 halafu uzuri wake unajua kama unajitoa akili ndio maana ulivyo andika utumbo wako uka anza kujihami ooh mtaa anza kutukana
 
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
mkuu hapa umeongea ukweli mtupu, najua manyumbu ndio yananufaika na watakuja kukutukana hapa soon
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Unapoteza muda.........Chadema ni IDF ccm ni Hamas.

Juzi wameitana.....watashindwa tu.
 
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
WACHA WEEEEEEEE.......WEWE CCM IPO MOYONI MWAKO?????????????????????
 
Hicho chama kingekua kimepoteza mvuta hata hii comment yako isingekuwepo.
Ukiona watu wanasema sana ndo umaarufu unapanda.
Hizi platform zinapaisha vyama.
Ukipita huku mtandaoni maswala yanayohusu vyama basi 80% ni kuhusu chadema(aidha kwa uzuri au ubaya)
Yaani umaarufu wa chama unapanda kwa matusi?Sera na kutatua matatizo ya watanzania na kushiriki kwenye mikakati ya kutatua matatizo ndio inafanya chama kiaminike.Sera za matusi na kukosoa tu bila kuleta solution zimepitwa na wakati.
 
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Waliondoka kupigania ufisadi, rushwa kuuza nchi.

Hivi sasa sera yao ni ipi?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Ndio kwanza CDM wanapendwa na wanaonekana mkombozi pekee wa watanzania, wengine wote hawapo kabisa CUF, ACT, UDP, hata havijulikani tena kama kuna vyama kama hivyo! Peopleeeeees!...
 
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Hicho ccm hana mbwa hakithamini..wanaishi kwa kutegemea policeccm na NEC kama ccm wa kiume...wekeni tume huru muone kama hamjasahulika
tapatalk_1508177756195.jpg
 
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Wewe moyo wangu waujua?
 
Yaani umaarufu wa chama unapanda kwa matusi?Sera na kutatua matatizo ya watanzania na kushiriki kwenye mikakati ya kutatua matatizo ndio inafanya chama kiaminike.Sera za matusi na kukosoa tu bila kuleta solution zimepitwa na wakati.
matusi yametukanwa lini.

ukichangia tu hapa unaongeza point kwa chadema.
 
sasa si mruhusu maandamano ya amani, kutisha wananchi kwamba mtajaza polisi 3000 na jwtz 5000 ili kuzuia waandamanaji ni wazi chadema ni lidude likuubwa serikali ya ccm inawaogopa... sasa hata watu wasipojitokeza tayari sababu inajulikana, kuogopa kuumizwa na hayo majeshi ya chalamila.
haya maneno ya kufarijiana sebuleni wakat mnaiogopa chumbani hayana maana.... chadema ni real threat kwa ccm kuliko chama chochote ndio maana hamuwapi uhuru wa kufanya lolote...
kutoa tu maoni kina mnyika wamesumbuliwa...poor ccm puaaaaaa
 
Tathmini inaonesha Tanzania inaongoza kuwa a nguvu kazi dhaifu na raia wajinga kusini mwa jangwa la sahara. Quality of Human capital index. Hata Malawi wanatuzidi.
Source. Mimi mwenyewe
 
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.

Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu ili wakaandamane Bado hawataenda 🤣najua kuna watu humu ni wagumu wa kusoma alama za nyakati, lakini hata CUF iliwahi kutikisa nchi hii achilia mbali NCCR mageuzi enzi za akina mabere malando.
Nakubaliana na wewe.
Na hii ni fursa kwa CCM kupata Ushindi usiolalamikiwa kuwa umeibwa.
CCM wahakikishe inapatikana Tume Huru ya Uchaguzi ili iichape CHADEMA kwenye chaguzi mwaka huu na Mwaka kesho.
Tuwaambie Viongozi wa CCM waache uoga juu ya Tume Huru ya Uchaguzi
 
Back
Top Bottom