Hivi hana wazazi huyo dada, kwani kwao hupajui? sikia,nenda kwa wazazi wake uwaambie kichacho endele ili waweze muweka chini maana mpaka hapo ina onyesha kabisa kua hawezi kukusikiliza wala kuku heshimu. baada ya hilo aipo badilika basi chukua hatua yoyote unayo ona inafaa
Inasikitisha kwamba mpaka sasa hivi kuna wanaume bado hawafahamu mgawanyo rasmi wa wanawake kwa wanaume inapaswa Mwanaume atleast uwe na wanawake wanne, ila kwa sababu za kiuchumi ni lazima uwe na wawili hili halina mjadala, sasa sometime nadhani ni kutumia kanuni za Madj tu, one beat after another.Dah sasa huyo atakuwa ana majivuno, alafu usipo mshikisha adabu mwanamke anakukalia kichwani kama hivi
Dah sasa huyo atakuwa ana majivuno, alafu usipo mshikisha adabu mwanamke anakukalia kichwani kama hivi
Inasikitisha kwamba mpaka sasa hivi kuna wanaume bado hawafahamu mgawanyo rasmi wa wanawake kwa wanaume inapaswa Mwanaume atleast uwe na wanawake wanne, ila kwa sababu za kiuchumi ni lazima uwe na wawili hili halina mjadala, sasa sometime nadhani ni kutumia kanuni za Madj tu, one beat after another.
Ni uswahili tu.. wanawake wenye tabia za kiswahili swahili kaa nao mbali kabisa
Hope ....hii ni dalili kuwa tangu awali hawa walikuwa na maisha artificial....yaaani mke na mume kuwa kama wapenzi tu wa kupitisha muda......Yaonekana kama walikuwa wanaishi kishkaji to an extent mume kusahau kuwa yeye ndo rule maker na enforcer matokeo ndo kama haya sasa bi dada kalelewa hivyo na huyo mume na amekuwa gwiji sasa analaumiwa!!!!!
Lait angejua aina ya mume aliyenaye tangu mwanzo.....wala asingefanya upuuuzi huu wa sasa
Alimsoma na kumjua mumewe na sasa anatumia ujuzi wake
pole aisee...
hv unajua utahusika kuurejesha?... chukua hatua akupe hela mfanye mlivokuwa mmekubalana kama hataki ...piga chini wanawake tupo wengi bwana ....
Yani hawa na maisha yao utadhani under eighteen.Mungu awasaidie wasije ishia kuuana na lile gonjwa letu
fidel80, mimi mwenyewe ni mwanamke, na hizo sifa nimekutajia hapo ni very tru! yaani kwa kifupi kwenye kupata pesa bila kutarajia, both wanaume na wanawake huwa wanachange sana, majority na si wote!
Habari wapendwa wa JF,nimekaa nikafikiria sana hili swala nikaona boara niliweke jamvini tupeane mchango.Unakuta umeoa na mwanamke alikuwa anakutegemea kwa kila kitu ingawa kuwa nae anafanyaka kazi,mmeendelea na maisha ya kila siku lakini ikaja ikatokea kuwa mwanamke akapata mkopo ofisini kwao ambao ukiulinganisha na ile niliyokuwa nampatia kiukweli mkopo ni mkubwa kiasi chake,sasa kinachokuja hapa ni kwamba "BAADA YA KUPATA MKOPO AMEKUWA MTU WA NYODO,JEURI,MANENO YA KASHFA NA MAJIVUNO",hata nikisema nimuulize lolote atanijibu kwa mkato......na mbaya zaidi sasa hivi tunaishi kama kaka na dada............,na mara ya kwanza alikuwa nawahi sana kurudi nyumbani lakini baada ya hiyo pesa kurudi kwake nyumbani ni saa 3 usiku?......Naomba wana JF mniambie hapa huwa inakuaje kwenye hili?Maana mimi nimeamua kuwa kimya bila kuzungumza chochote.....mbaya zaidi amekuwa busy na simu anaweza ku-chat hata mpaka saa 6 za usiku,wakati mara ya kwanza mm nikitumiwa sms hata moja saa 3 usiku ilikuwa ugomvi ntaambiwa niwaambie hao watu wasinisumbue nipo na mke wangu,lakini leo yeye leo ndo amekuwa kinara wa kuchat,nikimwabia najibiwa "KILA MTU ANA UHURU WAKE WA SIMU",.........Wapendwa wa JF maneno ninayo mengi sana lakini kwa haya niliyoyatoa naamini mtakuwa mmepata picha halisi............NAWASILISHA
hii ndoa inamapungufu haswa tokea mwanzo inaonekana haukuwa makini maana mwanamke hata maandiko ya vitabu vitakatifu hawakupewa kipaumbele ndio maana akili huwa kama kuna malaika wa zamu anawashikia akiamua apunguze utashangaa hata jana ulimnunulia gari akakusali hivi hivi. kuna mkuu wa kituo alipata pressure baada ya kumnunulia mwanamke gari na kumjengea nyumba ndani ya wiki tu alikuwa yuko nje ya penzi
Tabia halisi ya Mtu utaijua once akikamata Pesa
Kwa kesi yako Great Thinker Runners, huyo mwanamke hana mapenzi na wala heshima wewe kabisa, hiyo ni fact na lazima uikubali,
alikuwa anapretend kwa sababu alikuwa hana kitu, na sasa kapata cha ziada(Kukuzidi) ndio anaonyesha rangi yake halisi
Angalizo ninalokupa ni kwanza kufatilia huo mkopo kaupata kwa njia gani, kama ni mshahara wake sawa, lakini kama kuweka mali zenu za kifamilia (Nyumba, Fenicha nk), hilo lazima ulifatilie hata kwa mawakili ili iwe sawa, isije siku ukajikuta unalala nje bila kupanga
ushauri
ukali wa kiume kama kiongozi wa nyumba lazima ufanyike, kama mlijiwekea utaratibu wa kufika nyumbani mapema na mwisho wa kuchati na simu basi simamia hilo kwa nguvu zako zote, Kama alikuwa ndio muandaaji wa chakula basi simamia hilo pia,
Jaribu kuwa kwenye mistari ambayo hata kama mna watoto waweze kujua position yako na mamayao ikoje[/Q
Yaani siku hizi hapiki kabisa,hata kugusa nguo zangu kama ni kufua hata hagusi kabisa.......
Tabia halisi ya Mtu utaijua once akikamata Pesa
Kwa kesi yako Great Thinker Runners, huyo mwanamke hana mapenzi na wala heshima wewe kabisa, hiyo ni fact na lazima uikubali,
alikuwa anapretend kwa sababu alikuwa hana kitu, na sasa kapata cha ziada(Kukuzidi) ndio anaonyesha rangi yake halisi
Angalizo ninalokupa ni kwanza kufatilia huo mkopo kaupata kwa njia gani, kama ni mshahara wake sawa, lakini kama kuweka mali zenu za kifamilia (Nyumba, Fenicha nk), hilo lazima ulifatilie hata kwa mawakili ili iwe sawa, isije siku ukajikuta unalala nje bila kupanga
ushauri
ukali wa kiume kama kiongozi wa nyumba lazima ufanyike, kama mlijiwekea utaratibu wa kufika nyumbani mapema na mwisho wa kuchati na simu basi simamia hilo kwa nguvu zako zote, Kama alikuwa ndio muandaaji wa chakula basi simamia hilo pia,
Jaribu kuwa kwenye mistari ambayo hata kama mna watoto waweze kujua position yako na mamayao ikoje[/Q
Yaani siku hizi hapiki kabisa,hata kugusa nguo zangu kama ni kufua hata hagusi kabisa.......
Chakula cha usiku vp anakupa kama kawa?
wee acha tu.huyo mwanamme zuzu wa mwisho.mpaka watu wanashangaa.huyo bibi ana mwanmme na wala sio siri,huyo bwana yeye ameshikilia nimezaa nae mtoto.anampenda sana mtoto wake ila cha moto anakiona.mtoto atakuja kupata shida.bibi ana power za hali ya juu.Kumbe mkiwezeshwa ndo mnafanya haya ngoja mi niendelee kuhit na kurun khaa mwanaume unageuzwa zuzu hivi hivi.