The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Umeachana na mpango wa Vibr.....bro....
Umeachana na mpango wa Vibr.....bro....
Umeachana na mpango wa Vibr.....
:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: Utaniudhi sasa hiviniwe na mpango gani tena my brother? siwezi tena kuacha!
Nahitaji sana kuelewa hili, mara nyingi humu utakuta topic nyingi zinahusu wanawake wa sehemu fulani sijui watamu, sijui wanajua mapenzi, sijui wanawe utakuta wanaume wanajitoa, wanachangia kweli experience zao na wanawake wa aina mbalimbali, wenye kutoa sifa haya, wenye kutoa dharau nao wapo, sasa nachoshangaa ni kwamba mbona wanawake wao huwa hawatoi experience zao kuhusu wanaume wa mikoa mbalimbali au nchi mbalimbali? sababu ni nini? au wamefundwa kuficha siri za wenzi wao?, au ni aibu? au hawana experience ya kutosha? ( which is understandable maana wanawake si donoa donoa kama wanaume) ni nini haswa?
:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: Utaniudhi sasa hivi
Dawa yako naijuasasa wataka nikudanganye sio?tumefika huko kaka?
FirstLady tokea umezama kwenye penzi la Nyoshi El Sadat basi hatusemi l.o.lwanaume watamu wako kinshasa congo,bongo hakuna mwanaume mtamu wote wanajifunza ku2mia miko yao kusongea ugali,kwahyo hata sijui tuanzishe sred kuhusu nini kwani mwanaume wa kichaga hana tofauti na wa tanga wala songea
Dawa yako naijua
tumeumbwa na aibu!!
wanaume watamu wako kinshasa congo,bongo hakuna mwanaume mtamu wote wanajifunza ku2mia miko yao kusongea ugali,kwahyo hata sijui tuanzishe sred kuhusu nini kwani mwanaume wa kichaga hana tofauti na wa tanga wala songea
Basi ngoja nikuache wewe umeishashindikana l.o.lmmmhhhh.....naiomba kaka yangu iwe na vigezo vilivyonifanya nitumie hiyo kitu nyingine!
Nahitaji sana kuelewa hili, mara nyingi humu utakuta topic nyingi zinahusu wanawake wa sehemu fulani sijui watamu, sijui wanajua mapenzi, sijui wanawe utakuta wanaume wanajitoa, wanachangia kweli experience zao na wanawake wa aina mbalimbali, wenye kutoa sifa haya, wenye kutoa dharau nao wapo, sasa nachoshangaa ni kwamba mbona wanawake wao huwa hawatoi experience zao kuhusu wanaume wa mikoa mbalimbali au nchi mbalimbali? sababu ni nini? au wamefundwa kuficha siri za wenzi wao?, au ni aibu? au hawana experience ya kutosha? ( which is understandable maana wanawake si donoa donoa kama wanaume) ni nini haswa?
Basi ngoja nikuache wewe umeishashindikana l.o.l
FirstLady tokea umezama kwenye penzi la Nyoshi El Sadat basi hatusemi l.o.l
embu kwanza nikkulize kabla ya kujibu .......tukishakaa na kumuuliza huyo inakuwaje nextswali hili ningetaka kulipost ila kwa kuhofia kukosa comments kwa kuwa mie mjukuu wa kokudo na laana ya kukosa wachangiaji kama babu yangu inaniandama niliogopa.sasa wacha niulize pia.
Hivi ktka vikao vyenu vya umbea,kama tulivyo na vikao vyetu vya ulevi,mlishawahi kuuliza wenzi wenu kwa nini hawaolewi? Ama hawatafuti wachumba na miaka inaenda? Mara si moja utakuta mwanamke amekithiri kwa hali na mali ila swala la ndoa NO! Sijui mnaambianaga tafuta mchumba? Sie kwa upande wetu.haswa mimi..hushinikiza wenzangu kuwa kama umepata kazi ama umejaliwa kimaisha,then tafuta mchumba..na nitatoa sifa za madem kadhaa.wa kabila tofauti ajichagulie.hata kama ni posa niko tayari kumwakilisha.hebu nifungue macho bidada.halaf tuendelee.nina viceroy hapa ya kunisaidia kwa majibu..na swala la donoa donoa ondoa.kwani 99 percent ya wadonoaji ni nyie.
MMH ya kweli hayo?
embu kwanza nikkulize kabla ya kujibu .......tukishakaa na kumuuliza huyo inakuwaje next
yani na mume tunapanga mikakati ya kumtafuta au???? mi sielewi halafu ukishajua inakuwaje
i think kuingilia maisha ya mtu binafsi doesnt make any sense after all wht u asking u cn not help any solution
FirstLady tokea umezama kwenye penzi la Nyoshi El Sadat basi hatusemi l.o.l
Lizzy nyie mkikaa kikundi cha wanawake huwa mnadiskasi banaa.....