jeshi mafunzo yao kutambua jamii na kiulinzi na kila siku wao ni mafunzo.ndo maana mwanajeshi ni tofauti sana kuliko polisi akienda kozi ndo ni tolee mpaka anakufa hakuna mafunzo muendelezo.huo msaada utoke wapi.si kwa wote lakini ila niwengi sana sanaKwa mda mrefu nimejaribu kuchunguza hili jambo kwa watu wengi sana nimegundua kuwa wanajeshi wapo mstari wa mbele sana kusaidia ndugu zao kimaisha na hata kuwasomesha wadogo zao au watoto wa ndugu zao
Lakini upande wa pili huko.......!!!!!
Mmh,mada Nyingine!kuna kitu unatafuta.Kwa mda mrefu nimejaribu kuchunguza hili jambo kwa watu wengi sana nimegundua kuwa wanajeshi wapo mstari wa mbele sana kusaidia ndugu zao kimaisha na hata kuwasomesha wadogo zao au watoto wa ndugu zao
Lakini upande wa pili huko.......!!!!!
Conclusion yako umeandika Kama vile wanajeshi na polisi wote unawafahamu.Kwa mda mrefu nimejaribu kuchunguza hili jambo kwa watu wengi sana nimegundua kuwa wanajeshi wapo mstari wa mbele sana kusaidia ndugu zao kimaisha na hata kuwasomesha wadogo zao au watoto wa ndugu zao
Lakini upande wa pili huko.......!!!!!
Waalimu wa primary wapi hao, manake kuna wanaopokea hadi million,na police wapi hao,Hawa makamishna wasaidizi waaandamizi au PCUshamba tu unawasumbua, huwa wanadhani upolisi ndo peponi kumbe hata kwa mishahara wapo sawa na waalim wa primary
Si kweli,wanaenda sana kozi,hata mimi zamani nilijua huwa hawaendi kozi tena baada ya kozi ya awali,jeshi mafunzo yao kutambua jamii na kiulinzi na kila siku wao ni mafunzo.ndo maana mwanajeshi ni tofauti sana kuliko polisi akienda kozi ndo ni tolee mpaka anakufa hakuna mafunzo muendelezo.huo msaada utoke wapi.si kwa wote lakini ila niwengi sana sana
Ungeanza kumpa tuition ya TGTS mkuuWaalimu wa primary wapi hao, manake kuna wanaopokea hadi million,na police wapi hao,Hawa makamishna wasaidizi waaandamizi au PC