[h=6]kwanini CCM,serikali yao,viogozi wao na CUF na wabunge wao humchukia sana Tundu Lissu NAKUIKASHIFU SANA chadema "KUWA NA WABUNGE WENGI WA CCM BUNGENI NI JANGA LA KITAIFA"[/h] HEBU yasikie ya wabunge wa CUF.!!....Waziri wa Afya wa Zanzibar-CUF bwana Juma Duni Haji ametetea vikali mswada wa katiba mpya uliopitishwa na bunge na kusema hata mwalimu Nyerere wakati wa uandaaji katiba ya mwaka 1977 aliteua wajumbe nusu kwa nusu kati ya Tanganyika na Zanzibar.Waziri huyo ameilaani Chadema na kumfananisha Tundu Lissu na mtu asiye na akili. Bwana Juma Duni Haji ameyasema hayo katika kipindi maalum cha dakika 45 ambacho kimerekodiwa na kitarushwa siku ya Jumatatu
mimi kama Mtanzania mzalendo namwona TUNDU LISU kama shujaa VITANI chadema msirudi nyuma CUF inakufa taratibu Godbless Lema alisema; Ni heri vita inayotafuta haki na usawa, kuliko amani inayopumbaza na kudhalilisha utu wa mwanadamu
Nawasilsha
mimi kama Mtanzania mzalendo namwona TUNDU LISU kama shujaa VITANI chadema msirudi nyuma CUF inakufa taratibu Godbless Lema alisema; Ni heri vita inayotafuta haki na usawa, kuliko amani inayopumbaza na kudhalilisha utu wa mwanadamu
Nawasilsha