Alikua sio saizi yako. alikua in the wrong bt bado ukamgwaya kumwambia ukweli?
Elimu tosha, lakini nasema sio wote wanawake wako hivyo. Ukiona mdada atanguliza ndoa bila kukujua wewe ni nani kwa uzaidi hata kitabia ujue pana kazi hapo.
na wewe pia una mapungufu yako,maybe huyaoni tu
kwa hiyo ulimpa swaga za kumnunulia gari? Mmmh wewe na huyo ex wako wote mmmmh
Frank useful advice... appreciated.
On behalf of all men out here...
I declare this post as fit for use in all
testing pertaining the overall process of
finding a perfect match. With the disclaimer (In every rule there are exceptions)
taken into consideration.
Signed,
PetCash.
BIG UP MKUU.
On behalf of all men out here...
I declare this post as fit for use in all
testing pertaining the overall process of
finding a perfect match. With the disclaimer (In every rule there are exceptions)
taken into consideration.
Signed,
PetCash.
BIG UP MKUU.