- Thread starter
- #21
We umeuliza swali nimekujibu sasa naona unataka kunichambua mimi!Aliyekwambia nahitaji kujijengea hoja ni nani?Sina sababu ya kujidanganya wala kudangaya!
sikuchambui bali nataka kukuweka sawa katika maisha yako ya mapenzi je nimekosea kwa ninayo yasema?