Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Zuhura, kama unasoma bandiko hili, tambua tu ukweli kuwa nakupenda sana. Natamani nikuvishe pete ili tuishi kama mume na mke. Ni mimi Melki the Storyteller, na maneno haya nayasema kutoka moyoni bila kujali kupondwa na wanaume wa MMU
Yaani hata niwe na nani, kichwani ni Picha yako wewe tu. Kwanini lakini Zuhura? Nimeshakuja hapo Magomeni mara tatu, ni vile tu napata woga wa kuingia humo getini. Nakupenda sana Zu
Achana na huyo mwamba uje kwangu hapa Mabibo tuyaanze maisha yetu kama wanandoa, ingawa sina chochote kitu ila Mola atatujaalia tutakuwa wa juu sana, mama. Nitauza haya matikiti kwa nguvu zangu zote na akili yangu yote ili nihakikishe kila wiki unakwenda saluni mpenzi wangu
Zuu, nakukumbuka sana aisee, pale Paje miaka hiyo nilikuonja kwenye kombolela. Natamani turudie kwenye utu uzima huu, mama. Mwenzio silali bila kuisikiliza sauti yako kwenye "Naringa"
Naamini ipo siku Zuu. Hii picha yako huwa inanisevugi sana
Yaani hata niwe na nani, kichwani ni Picha yako wewe tu. Kwanini lakini Zuhura? Nimeshakuja hapo Magomeni mara tatu, ni vile tu napata woga wa kuingia humo getini. Nakupenda sana Zu
Achana na huyo mwamba uje kwangu hapa Mabibo tuyaanze maisha yetu kama wanandoa, ingawa sina chochote kitu ila Mola atatujaalia tutakuwa wa juu sana, mama. Nitauza haya matikiti kwa nguvu zangu zote na akili yangu yote ili nihakikishe kila wiki unakwenda saluni mpenzi wangu
Zuu, nakukumbuka sana aisee, pale Paje miaka hiyo nilikuonja kwenye kombolela. Natamani turudie kwenye utu uzima huu, mama. Mwenzio silali bila kuisikiliza sauti yako kwenye "Naringa"
Naamini ipo siku Zuu. Hii picha yako huwa inanisevugi sana