Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Ni kweli kuwa tangu zamani mifarakano katika na kuvunjika kwa ndoa vilikuwepo. Hata hivyo, ni wazi kuwa hali hiyo imeongezeka sana siku za karibuni. Baadhi ya sababu zinazotajwa kusababisha ongezeko hilo:
1.Kukua kwa Teknohama na hatimaye utandawazi.
2.Harakati za kutaka usawa wa kijinsia.
3.Ongezeko la wanawake katika kazi za sekta rasmi.
4.Ndoa kukosa watoto. Hivyo wanandoa wanakosa kiunganishi.
5.Wanaume wengi hawezi kazi kwa sababu za kibailojia.
6.Utegemezi wa wazazi kwa watoto wao umeongezeka, ikichangiwa na ukosefu wa sera nzuri ya hifadhi ya jamii. Wazazi hutaka wapendwe zaidi kuliko watoto wao wanavyowapenda wake/waume zao.
Wengine mnasemaje?
1.Kukua kwa Teknohama na hatimaye utandawazi.
2.Harakati za kutaka usawa wa kijinsia.
3.Ongezeko la wanawake katika kazi za sekta rasmi.
4.Ndoa kukosa watoto. Hivyo wanandoa wanakosa kiunganishi.
5.Wanaume wengi hawezi kazi kwa sababu za kibailojia.
6.Utegemezi wa wazazi kwa watoto wao umeongezeka, ikichangiwa na ukosefu wa sera nzuri ya hifadhi ya jamii. Wazazi hutaka wapendwe zaidi kuliko watoto wao wanavyowapenda wake/waume zao.
Wengine mnasemaje?