masanzakona
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 228
- 122
Ndo uache, usije ukamletea shida dada wa watu
Wajameni hivi kwa nini nikikojoa uhai nahema sana? Mbona sijakimbia kwa nini nihemeheme hivi na kuchoka sana.nahisi presha inanipanda kidogo jamani, sitakufa juu ya kifua cha mtu kweli?