Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Joannah

JF-Expert Member
May 8, 2020
18,426
42,518
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?

Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.

Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?

Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?

Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" 😣

Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...

Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
 
Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia β€œNiambie” πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
I hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.
 
Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia β€œNiambie” πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
We kwani watuma miamala nao wanasemaga NIAMBIE?hao kazi yetu ni sisi kusema "BABY NIKWAMBIE KITU?🀣🀣
 
Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia β€œNiambie” πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Hahahahahaha...muamala huwa ni kila kitu kwa wadada
 
Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu

Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani
β€Š
Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea

You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi


Unaona isiwe kesi unamblock
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom