Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,426
- 42,518
Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?
Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.
Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?
Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?
Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" π£
Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?
Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.
Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?
Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?
Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" π£
Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.