X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
101% UhakikaUna uhakika ndugu yangu?
101% UhakikaUna uhakika ndugu yangu?
Mkuu hakuna haja ya kusema video ipo au laa wewe nakuomba uyaandike hapa aliyosema Kinana kisha wanabodi watapima wenyewe..najua tu utasema waandishi wa KiTanzania ndio wenye makosa lakini hawezi kuwa Kinana.
Nilichosoma mimi kinasema hivi:-
Kinana alitumia fursa hiyo kuwahakikishia wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM kwamba hali ya afya ya Kikwete ilikuwa njema na ataendelea na ziara yake ya kampeni leo hii mkoani Mwanza na kwingineko nchini.
Mbali ya hilo, Kinana alisema uamuzi wa Kikwete kufunga ulikuwa ni kinyume cha ushauri aliopewa na madaktari wake ambao walishauri asifunge.
Alisema tayari chama hicho na madaktari wake wameshachukua hatua zote za tahadhari ili kuhakikisha kuwa mgombea huyo wa urais anaendelea na kampeni zake za urais pasipo kukwama.
Kiranga;Wewe unafurahia mtu kuanguka kwa ugonjwa, mtu anakupinga unasema hiyo ni theory?
Wewe unataka aachie madaraka kwa sababu ya kuanguka? Asipoanguka tena ? Wewe una strategy gani zaidi ya kutegemea kudra za mtu kuanguka mwenyewe? Is this the best upinzani can do? Kusubiri mtu aanguke ? Unajuaje kama akianguka tena na tena ataachia wenye uwezo watawale? Akiwaachia wazembe wengine utasemaje? Utaombea nao waanguke ?
Huna uhakika kwamba atakayekuja ni mzuri lakini bado unaona ni one step ahead? Unajuaje kama si one step back ?
Hivi kama hupendi siasa za Kikwete huwezi kumpinga Kikwete kisiasa na kuonyesha udhaifu wa hoja zake bila kumtakia aanguke kimwili?
Hivi kumuangusha Kikwete kisiasa wapinzani hawana njia nyingine zaidi ya kuombea aanguke kimwili ?
Mimi nataka kuona upinzani unaokuja kwa fikra mpya, unaoleta matumaini, unaotupeleka kwenye uongozi unaojiheshimu na na wenye nidhamu kwa dhamana ya uongozi wa wananchi.
Nafurahi kuona viongozi wa upinzani wameweka ubinadamu mbele ya siasa. Alipoumia Slaa Kikwete alimtumia pole, Kikwete kaanguka Slaa amemtumia pole. Angalau kuna ubinadamu.
Hawa fanatics wanaokuja hapa kutaka kumla nyama binadamu mwenzao hawana support ya official positions za upinzani ninazozijua. There is a reasopn for this, the reason being these positions do not make sense humanely or even politically - they backfire terribly, Tanzanians do not like a ruthlessly inhumane politics-, ndiyo maana hata kama - I am not saying they actually do this, note hata kama- upinzani unataka kumuona Kikwete anaanguka na kufa jukwaani viongozi wao, kwa kujua responsibility ya ku project image ya ubinadamu, hawawezi kusema hivyo kamwe .
But I guess some people will never get that through their heads.
Kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa ni Professor Juma Kapuya au yule ant Muddy almaaruf pale Kariakoo. Usiniulize ni kwanini!Kiranga;
Una-argue na mtu ambaye hamko kwenye uelewa unaoshahibiana, na ninadhani hata elimu yenu itakuwa tofauti sana, nadhani mithili ya mtoto wa darasa la pili na profesa wa chuo kikuu. Hii ndiyo tofauti yenu na dniyo maana hamuwezi kuelewana,... utapoteza mda wako!
Adui mwombee njaa atanyosha mikono hata kama alikuwa shujaa.ni kawaida binadamu kutofurahia maanguko au mateso ya mtu mwingine waziwazi. lakini kwa nini hili la kikwete nachelea kumsikitikia?
ninazo sababu zangu nyingi lakini baadhi tu ni hizi
1. kiwete ni msanii alitukuka, yeye na wasanii wenzake wameeendelea kuwasanii watanzania kwa muda wa miaka mitano, wakati wananchi wanakufa njaa, hawana matibabu yeye anatumbua mapesa na mali asili zanchi hii na wateule wachache. kwa kuwa kuna wananchi wanaoanguka kwa njaa, kwa nini nijali kuhusu msanii kama kikwete kuanguka jukwaani, tena wakati anawaghilibu wananchi kwa kuwasomee litania ndefu ya mafanikio anayoyajua yeye na msanii mwenzake rostam aziz?
2. bado ule wizi wa epa na kagoda unanisumbua akilini. wakati kikwete na wenzake walichota mabilioni wakahonga mpaka akawa rais, badala ya kuwakamamta wale walioiba wanajulikana waziwazi, rosta, lowasa, nimrod mkono, kingunge, yeye na vibaraka wenzake wakawasweka ndani wasiohusika kama wale wafanyakakzi wa BOT. sasa wananishi maisha ya dhiki hawana mbele wala nyuma. kwa nini sasa nisifurahi kidogo anguko lake ambalo ni adhabu toka kwa MUNGU?
3. jakaya kikwete anataka kujenga usulatni wa ajabu hapa nchini, sasa yeye na wanawe ndo waamuzi wakubwa kabisa katika maisha na mustakabali wa nchi yangu, kama alivyokuwa sadam na wanawe wawili ndivyo alivyo kikwete, mkewe, na wanawe , kwa nini nisifurahie anguko la mtu kama huyu?
4.JK, WATU WANAKUDANGANYA, UMEZUNGUKWA NA WEZI, MAFISADI, PALE JUKWAANI JANGWANI UNAPOANGUKA KILA WAKATI WA KAMPENI KUNA ZINDIKO KUBWA, SEPTEMBER 5TH, 1990, MTU WA HAKI, NA MTUMISHI WA MUNGU BABA MTAKATIFU YOHANE PAULO WA PILI, ALIHUTUBIA TAIFA, AKALIKABIDHI TAIFA HILI KWA MUNGU, ILI WAONGO, WAZANDIKI, WAHUNI, WASANII, WALA RUSHWA, WAFISADI, WAKARIBIAPO PALE WAPATE KUANGUKA!
UTAANGUKA DAIMA