inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,168
- 18,512
Simba ni mbovu kwa yanga,timu imeshinda lakini kipindi Cha pili ni kubutua na kupoteza muda...bado haijawa timu alichofanya robertinho ni kutengeneza mbinu mbili tatu za kupata magoli,ndiyo maana alipojulikana kajaje kwenye game kipindi Cha pili akapoteaKuna wachambuzi nao wanayasema sana haya.