cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,184
- 140,139
Ulitaka kusema nn? By the way hiyo mifano inakukataa kwa kuiweka simba hapo.Mpira itakua si suala lako,Brentford alimfunga man city, Leverkusen alimfunga Bayern,ihefu alimfunga yanga
Ulitaka kusema nn? By the way hiyo mifano inakukataa kwa kuiweka simba hapo.Mpira itakua si suala lako,Brentford alimfunga man city, Leverkusen alimfunga Bayern,ihefu alimfunga yanga
Umenikumbusha enzi zangu zama nacheza "Badminton"Deuces!
Umepigwa Bomba au vimiminika vinakusumbua!?Ulitaka kusema nn? By the way hiyo mifano inakukataa kwa kuiweka simba hapo.
Tangu nabi aingize mifumo yake yanga haijawahi zidiwa kimpira na timu yoyote Tanzania na CAF
Sasa akikuwin kwa mbinu huwezi kukindi kwqmba ni Bora kwako?Simba ni mbovu kwa yanga,timu imeshinda lakini kipindi Cha pili ni kubutua na kupoteza muda...bado haijawa timu alichofanya robertinho ni kutengeneza mbinu mbili tatu za kupata magoli,ndiyo maana alipojulikana kajaje kwenye game kipindi Cha pili akapotea
Brentford ni Bora kuliko man city!?..man city alipigwa etihadSasa akikuwin kwa mbinu huwezi kukindi kwqmba ni Bora kwako?
Leo wamekua kimyaaa wanajiuma uma tuWataanza jambajamba tuu
amka utokojoa kitandaniTangu nabi aingize mifumo yake yanga haijawahi zidiwa kimpira na timu yoyote Tanzania na CAF
Fanyeni usajiri acheni janjajanja. Ni wakati wa nyinyi kujifunza mengi kutoka kwa YANGA.Kila wakati Takwimu huwa zinasema tofauti na wana- Yanga wanavyoaminishwa na watu wao wanaowaamini. Juzi Kati hapa almanusra Manara awadanganye Yanga kwamba haijawahi kutokea Timu ya Tanzania kuongoza kundi kwenye mashindano ya CAF ikiwa na Pointi 13.
Alipokumbushwa kwamba simba iliwahi kuongoza kundi Ligi ya Mabingwa ikiwa na Pointi hizo 13, akakaa kimya. Lakini Takwimu zile zilishaanza kushadadiwa na watu wa Yanga kwa kasi ya ajabu sana.
Simba inaongoza kwa kuwa na magoli Mengi kwenye Ligi Kuu Tanzania, lakini mashabiki wa Yanga wameaminishwa kwamba Simba eti ndiyo yenye Fowadi mbovu sana kuliko wao. Inakuwaje Simba inayoipita Yanga magoli ya kufunga kwa tofauti zaidi ya magoli 10 eti yenyewe ndiyo iwe na fowadi mbovu?
Pia kuna hoja hii ya kwamba Simba haijawahi kuifunga Yanga tangu mwaka 2019, hii hoja ni ya kweli lakini imetiwa chumvi mno. Namshukuru sana JanguKamaJangu ambaye ameweka takwimu hizi hapa chini.
29/04/2018: Simba 1-0 Yanga
30/09/2018: Simba 0-0 Yanga
16/02/2019: Yanga 0-1 Simba
04/01/2020: Simba 2-2 Yanga
08/03/2020: Yanga 1-0 Simba
07/11/2020: Yanga 1-1 Simba
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
Kwa takwimu hizi inakuwaje watu wa Yanga wadhanie kwamba kuanzia mwaka 2019 Simba imekuwa dhaifu kwao??