Elections 2010 Kwa nini CUF wanaukimbia uwanja wa Jangwani?

Mimi Islam ila kura yangu CHADEMA! CUF ni hatari imekaa zaidi kama Islamic Jihad.

Muislam hajinadi,vitendo tu ndivyo vinavyomjulisha, hujakatazwa kupiga chadema,bt acha pumba ongea la maana.. je tukisema Chadema ni cha kikiristo,tena ushahidi upo wazi mgombea wao ni Padri utasemaje... kwa mantiki hiyo maisha chadema mtabaki chini.. kwani badala ya kuongea ya maana na jinsi gani tutaing'oa ccm,nyie mmeishika Cuf,mtafikir Cuf ndio wapinzani wenu. duh!
 
CUF ni chama cha wapemba ndiyo maana huku bara watu wenye akili nzuri kama Lwakatare walishastuka wakakikimbia siku nyingi.CUF kinahusishwa na uislam kwasababu wapemba wengi ni waislam hakuna wakristo kule
 
Muislam hajinadi,vitendo tu ndivyo vinavyomjulisha, hujakatazwa kupiga chadema,bt acha pumba ongea la maana.. je tukisema Chadema ni cha kikiristo,tena ushahidi upo wazi mgombea wao ni Padri utasemaje... kwa mantiki hiyo maisha chadema mtabaki chini.. kwani badala ya kuongea ya maana na jinsi gani tutaing'oa ccm,nyie mmeishika Cuf,mtafikir Cuf ndio wapinzani wenu. duh!

Kwani wewe ulikuwa hujui kuwa chadema imeletwa ili kudhoofisha upinzani?Hawana lolote hao mavuvuzela,watakula wa chuya kwa uvivu wa kuchagua na hapo mwakani hutowaona tena humu jamvini kwani aibu itawatawala kwa ujinga wao.
 
CUF ni chama cha wapemba ndiyo maana huku bara watu wenye akili nzuri kama Lwakatare walishastuka wakakikimbia siku nyingi.CUF kinahusishwa na uislam kwasababu wapemba wengi ni waislam hakuna wakristo kule

Padri Kimaro yupo wapi kama si Pemba?Mbona nyie mashemasi mpo hivyo?
 
CUF cha Wapemba na Waislamu,Chadema cha Wachagga na Wakatoliki.UDP cha Wasukuma Wanyantuzu.Mimi nahisi nibaki na hii CCM.
 
c5.jpg



Angalia Hijab hizo!

NIMEONA MANINJA WA3 KWA HARAKA HARAKA..! our future first ladies...!!!!! hahahahaha
:becky::becky::becky:
 
Naam, baada ya hizo punch-ups basi ni bora mkarudia mada ya topic. Ingefaa mng-eaddress masuala haya mawili makuu aliyetoa mtoa mada:

1. Kwa nini CUF wanaukimbia uwanja wa Jangwani?

2. Kwa nini walifanya mikutano Ijumaa?
 
Ni kwewli, wapinzani wa CHADEMA ni CUF.
Nitakupa ushahidi, Jimbo la Kigoma ambapo Zitto anatetea.
CUF wanashirikiana na CCM ili kumwangusha Zitto.

Ni kweli CUF hawajafanya ustaarab...kusimamisha mbunge kigoma mjini ....wakiwa na lengo la kugawa kura za wapinzani ili kumwangusha zitto.......ni zitto ambaye baada ya CHADEMA kumtoa Slaa agombee urais ataitajika sana kurudi ili kuziba nafasi ya kamanda slaa......sasa sikuona mantiki ya CUF kutoelewa umuhimu wa zitto kurudi bungeni kwa manufaa ya upinzani....au kwakuwa tayari CUF wanauhakika wa kuwa kwenye serikali .....basi wameshasahau umuhimu wa harakati.....au wanataka wajikite zaidi zanzibar.......??basi kama ndivyo tumaini la watanganyika ni CHADEMA!!!
 
Nijuavyo mie kiwanja cha Kidongo Chekundu, Gerezani jijini Dar ni maalum kwa shughuli ndogo ndogo kama 'fete', 'tombola', 'circus', mabembea kwa ajili ya watoto, kuuza 'ashikirimu (ice-cream)' n.k na mimi binafsi nilihudhuria shughuli hizo tajwa wakati nikiwa mtoto. Kwa kifupi ni eneo ambalo haliwezi kuchukua 'umma' wa watu wanaojitokeza ktk mikutano mikubwa ya CHADEMA na CCM.
 
Hili Rev. Masanilo ni chakula cha mapadri kwa muda mrefu tu ndiyo maana lina-act namna hiyo.

Wavaa vibarakashia wanahudhuria mikutano ya kisiasa tokea enzi za TANU wakati huo hata Mbezi na Kimara ni pori tu. Nenda kapekua picha za enzi hizo na mtuwekee hapa.
 
Kitu cha msingi ni kuleta ushindani mkubwa kwa chama cha ccm na kukiondoa madarakani bila kujali itikadi ya vyama.
Kama unadhani cuf wanafaa basi piga kura ya NDIYO kwa CUF.Kama unaona CHADEMA inafaa basi piga kura ya NDIYO.
Hii ndiyo Demokrasia tunayoipigia makelele na elimu ya uraia ambayo ni haba sana kwa watanzania walio wengi.
MYTAKE:

  • Tuwashauri ndugu zetu kujua haki na wajibu wa kupiga kura kuchagua viongozi,na sio kuishia kulalamika kila kukicha.
  • Tuwafundishe watoto wetu kwenye vyuo vya uandishi wa habari waache kulalamika kila kukicha kuwa wanaonewa na hawapewi haki ya kupata habari.
  • Tuwaeleze ndugu zetu athari za kupewa rushwa ya uchaguzi 2000 na baada ya uchaguzi unairudisha bila wewe kujua.
  • Mbona Tanzania kuna wasomi vijana wengi tuu wanatoka vijijini?hawaoni hili?viongozi wote wanaoshabikia ccm leo walisoma bure,iweje leo watuambie tulipie pesa nyingi hivyo?AMUA SASA.

Ahsante Technician. Huyu bwana aliyeanzisha thread ni ''mtaalam'' maana alijua kuwa kuna ''simple minded people'' ambao unaweza kuwaondoa kwenye core issue kwa kutumbukiza nonsense issue na wakabaki wanajichanganya. Mimi nilidhani watu wangekuwa wanajadili kwanini watoto wetu katika karne hii wanakaa juu ya mawe chini ya paa la nyasi linaloitwa darasa.! masikini watoto hao ni akina John, Kasimu, Lilian na Mwajabu. Badala ya kujadili mustakabali wao, watu wanajadili dini zisizojibu hoja ya elimu duni, afya mbovu miaka 50 baada ya uhuru.
Badala ya kuwaeleza watu wetu nini maana ya uchaguzi na athari zake miaka 5 ijayo, watu wanajidili viwanja vya mikutano kana kwamba ndilo tatizo la tanzania. Badala ya kujadili ni kwanini serikali ipoteze trilion moja kwa misamaha, na misamamha hii inawasaidiaje wazazi wanaolala chini kule kigoma na temeke, watu wanajadili waliohudhuria mikutano walivaa kofia za aina gani.
Mwisho wa yote watauliza swali kwanini CCM inashinda, je inaaminiwa au wanaiba kura! Hawa hawa hawajui kuwa nafasi yao kulisaidia taifa ni pamoja na kuwa na mijadala yenye tija na afya. Hii kama si simple mind ni nini!
Naomba JF thread zinazotutoa katika core issue tuzi dharau, na nitafarijika kama hii ndio itakuwa post ya mwisho katika thread hii. Haitusaidii wala kumsaidia yule anayeteseka kwa dola 1 kwa siku, ndoo ya maji kichwani, mzigo wa kuni mkononi, mtoto mgongoni. Nani anaweza thibitisha kuwa dini na ukabila ndio chanzo cha umasikini Tanzania? Halafu hao hao wanajiita great thinkers!
Tubadilike watanzania!
 
Ahsante Technician. Huyu bwana aliyeanzisha thread ni ''mtaalam'' maana alijua kuwa kuna ''simple minded people'' ambao unaweza kuwaondoa kwenye core issue kwa kutumbukiza nonsense issue na wakabaki wanajichanganya. Mimi nilidhani watu wangekuwa wanajadili kwanini watoto wetu katika karne hii wanakaa juu ya mawe chini ya paa la nyasi linaloitwa darasa.! masikini watoto hao ni akina John, Kasimu, Lilian na Mwajabu. Badala ya kujadili mustakabali wao, watu wanajadili dini zisizojibu hoja ya elimu duni, afya mbovu miaka 50 baada ya uhuru.
Badala ya kuwaeleza watu wetu nini maana ya uchaguzi na athari zake miaka 5 ijayo, watu wanajidili viwanja vya mikutano kana kwamba ndilo tatizo la tanzania. Badala ya kujadili ni kwanini serikali ipoteze trilion moja kwa misamaha, na misamamha hii inawasaidiaje wazazi wanaolala chini kule kigoma na temeke, watu wanajadili waliohudhuria mikutano walivaa kofia za aina gani.
Mwisho wa yote watauliza swali kwanini CCM inashinda, je inaaminiwa au wanaiba kura! Hawa hawa hawajui kuwa nafasi yao kulisaidia taifa ni pamoja na kuwa na mijadala yenye tija na afya. Hii kama si simple mind ni nini!
Naomba JF thread zinazotutoa katika core issue tuzi dharau, na nitafarijika kama hii ndio itakuwa post ya mwisho katika thread hii. Haitusaidii wala kumsaidia yule anayeteseka kwa dola 1 kwa siku, ndoo ya maji kichwani, mzigo wa kuni mkononi, mtoto mgongoni. Nani anaweza thibitisha kuwa dini na ukabila ndio chanzo cha umasikini Tanzania? Halafu hao hao wanajiita great thinkers!
Tubadilike watanzania!

Bado swali la msingi haujalijibu, unalikwepakwepa tu:

1. Kwa nini CUF wanaukimbia uwanja wa Jangwani?

2. Kwa nini walifanya mikutano Ijumaa?

Bila shaka mtoa mada alikuwa anataka kuamsha mjadala iwapoaaaa;

1. CUF inaanza kufifia kama ilivyokuwa huko nyuma? Chadema wana jeuri ya kuitisha mkutano kwenye uwanja mkubwa kama Jangwani, CUF inaonekana haina jeiri hiyo hivi sasa.

2. Kwa nini Ijumaa na kuwapo hijab na baraghashia nyingi sana?

Kama huwezi kujibu hilo swali, basi ni gumu kaa kimya. Siyo kuzungushazungusha tu.
 
Uwanja ule unafanyikia maombi mara kwa mara.Na CUF ina waislamu wengi ,na waislamu wanaamini kuwa majini ni wasaidizi wa binadamu.sasa majini na jina la YESU ni mbalimbali
 
kwani mwaka 2005 walifunguliwa wapi mlutano wao? baada ya kukataliwa na yule muhubiri aliyekuwa oale Jangwani anahuri ila alipiisha CCM ifanyie pale mkutano wake! mie nawaomba wana JF tujadili hatima ya Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao, naona inanitia shaka umu wengi ni pandikizi wa CCM ndio maana mnaleta mambo ya UDINI ili tuvione vyama vya upinzani vinamtazamo wa udini na CCM ISHINDE kwa urahisi
 
Ahsante Technician. Huyu bwana aliyeanzisha thread ni ''mtaalam'' maana alijua kuwa kuna ''simple minded people'' ambao unaweza kuwaondoa kwenye core issue kwa kutumbukiza nonsense issue na wakabaki wanajichanganya. Mimi nilidhani watu wangekuwa wanajadili kwanini watoto wetu katika karne hii wanakaa juu ya mawe chini ya paa la nyasi linaloitwa darasa.! masikini watoto hao ni akina John, Kasimu, Lilian na Mwajabu. Badala ya kujadili mustakabali wao, watu wanajadili dini zisizojibu hoja ya elimu duni, afya mbovu miaka 50 baada ya uhuru.
Badala ya kuwaeleza watu wetu nini maana ya uchaguzi na athari zake miaka 5 ijayo, watu wanajidili viwanja vya mikutano kana kwamba ndilo tatizo la tanzania. Badala ya kujadili ni kwanini serikali ipoteze trilion moja kwa misamaha, na misamamha hii inawasaidiaje wazazi wanaolala chini kule kigoma na temeke, watu wanajadili waliohudhuria mikutano walivaa kofia za aina gani.
Mwisho wa yote watauliza swali kwanini CCM inashinda, je inaaminiwa au wanaiba kura! Hawa hawa hawajui kuwa nafasi yao kulisaidia taifa ni pamoja na kuwa na mijadala yenye tija na afya. Hii kama si simple mind ni nini!
Naomba JF thread zinazotutoa katika core issue tuzi dharau, na nitafarijika kama hii ndio itakuwa post ya mwisho katika thread hii. Haitusaidii wala kumsaidia yule anayeteseka kwa dola 1 kwa siku, ndoo ya maji kichwani, mzigo wa kuni mkononi, mtoto mgongoni. Nani anaweza thibitisha kuwa dini na ukabila ndio chanzo cha umasikini Tanzania? Halafu hao hao wanajiita great thinkers!
Tubadilike watanzania!

Asante mkuu kwa kuturudisha kwenye hoja kuu, kwa mtazamo wangu mara nyingi tunajikuta tunahama kwenye hoja za msingi zitakazoweza kubadili hali halisi ya maisha yetu ya sasa kuelekea level nyingine. Tunakuwa tunajikuta tunapambana wenyewe kwa wenyewe tukitumia vivuli vya majina yetu, makabila yetu, dini zetu na wakati mwingine jinsia zetu! Hivi kweli tutaleta mabadiliko katika nchi hii kwa mtaji huu tunaowekeza?

Ifike mahali tubadilike watanzania wenzangu, safari yetu bado ni ndefu sana, na kama hizi tofauti zetu za kijamii tukizibebea bango, ndio kabisa, kufika tuendako itakuwa ni ndoto ya Alinacha.
 
Waacheni wajipangie mamabo yao, si ndio Uhuru tunaoudao huo wa kutoingiliwa?
 
Back
Top Bottom