Hussein Mwinyi hakupaswa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Mkutano wa TCD, aliingia madarakani kwa Mauaji

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,428
Nitasema Kweli Daima Fitina kwangu Mwiko .

Mkutano ulioandaliwa na TCD , ambayo inadaiwa kuwa Kituo cha kusimamia Demokrasia nchini Tanzania , ambao umepanga kujadili masuala ya Demokrasia , ikiwemo Katiba Mpya , Tume Huru ya Uchaguzi na Sheria za Uchaguzi , leo umeingia siku ya pili , Mkutano huu umefadhiliwa na Ubalozi wa Marekani .

Sina tatizo na mkutano huu muhimu , Tatizo langu kwenye mkutano huu ni Uwepo wa Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi na kupewa heshima ya kuwa Mgeni Rasmi .

Hussein Mwinyi aliingia madarakani 2020 kwenye uchaguzi ambao ulivunja rekodi ya mauaji ya chaguzi zote zilizowahi kufanyika Zanzibar , wapinzani walidhibitiwa vilivyo , huko Pemba walipigwa mabomu hadi vikongwe , ulikuwa uchaguzi wa hovyo kuliko wowote niliowahi kuushudia tangu nipate akili , Zipo tetesi kwamba kulikuwa na majeshi kutoka Burundi ama Rwanda yaliyokodiwa na Serikali ili kudhibiti Wapinzani kikatili zaidi .

Hussein Mwinyi hakuwahi kuomba radhi kwa unyama ule , Kiongozi wa namna hii hakupaswa kuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa Kidemokrasia kama huu wenye lengo la kuboresha Mazingira ya Uchaguzi na demokrasia .

Ni vema waandaji wa Mikutano kama hii wakajaribu kutuheshimu (hata kwa heshima ya uongo) sisi Wananchi tulioona hali ile na ambao bado hatujasahau , waheshimiwe wafiwa na Yatima waliopoteza ndugu zao kutokana na uchaguzi ule
 
Waafrika siyo watu, kama kuna kosa alilifanya Mungu ni kuwaumba waafrika. Mijitu inamualika muuaji, bldifaken bastard. Hivi mwenyekiti ni nani?
Andiko lako limenitoa machozi , wallah tena !

Mwenyekiti wa sasa wa TCD ni Haruna Lipumba
 
Andiko lako limenitoa machozi , wallah tena !

Mwenyekiti wa sasa wa TCD ni Haruna Lipumba
Of all the people Lipumba? CUF aliyo nayo ni kwa dhuluma akisaidiwa na magufuli, eti leo ni Mwenyekiti wa demokrasia. Anyway, Jitu kama Lipumba linatafuta hela kama lilivyotafuta kwa magufuli. Limepata toka USA , ndiye aliyefadhili
 
Kaka Erythrocyte
Tatizo ni kwamba wanaharakati wa kibongo Bongo wanaishia huku kwenye keyboard.
Ingekuwa mnajitambua mngefanya kama afanyavyo mwanaharakati mwenzenu wa ukweli Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi au Dk wilbroad Slaa!

Kama mtu alishuhudia na anao ushahidi basi ilikuwa ni suala la kwenda pale pembeni ya ukumbi wa mkutano huo kukiwana mabango Kama tunavyoona huko Duniani.

Unakuwa na bango la majina ya hao marehemu wahanga wa uchaguzi,ambao mnawajua au mliwashuhudia wakiuwawa wakati huo wa uchaguzi nk.

Huu muendelezo wa unafiki wa kitanzania kukimbilia huku kwenye keyboard badala ya kwenda front live..
Hautakuja kulikomboa taifa hili.

Vijana wa kibongo mnajazana kwenye "Fiesta" lakini linapokuja suala la kutetea haki zenu mnawaachia vikongwe wa miaka 75 Kama mzee Slaa!
Vijana mmekalia kusuka nywele na kulegeza vikaptula maarufu
"kata k"

Lini mtajifunza kutoka na kutetea haki za taifa lenu na vizazi vyenu?

Kazi kuu mliyonayo ni mistari ya bongofleva!(flavour)kila mmoja anawaza mapenzi....
 
Kaka Erythrocyte
Tatizo ni kwamba wanaharakati wa kibongo Bongo wanaishia huku kwenye keyboard.
Ingekuwa mnajitambua mngefanya kama afanyavyo mwanaharakati mwenzenu wa ukweli Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi au Dk wilbroad Slaa!

Kama mtu alishuhudia na anao ushahidi basi ilikuwa ni suala la kwenda pale pembeni ya ukumbi wa mkutano huo kukiwana mabango Kama tunavyoona huko Duniani.

Unakuwa na bango la majina ya hao marehemu wahanga wa uchaguzi,ambao mnawajua au mliwashuhudia wakiuwawa wakati huo wa uchaguzi nk.

Huu muendelezo wa unafiki wa kitanzania kukimbilia huku kwenye keyboard badala ya kwenda front live..
Hautakuja kulikomboa taifa hili.

Vijana wa kibongo mnajazana kwenye "Fiesta" lakini linapokuja suala la kutetea haki zenu mnawaachia vikongwe wa miaka 75 Kama mzee Slaa!
Vijana mmekalia kusuka nywele na kulegeza vikaptula maarufu
"kata k"

Lini mtajifunza kutoka na kutetea haki za taifa lenu na vizazi vyenu?

Kazi kuu mliyonayo ni mistari ya bongofleva!(flavour)kila mmoja anawaza mapenzi....
Sasa kama watu hawakuuawa kinachokuliza nini ?
 
Nitasema Kweli Daima Fitina kwangu Mwiko .

Mkutano ulioandaliwa na TCD , ambayo inadaiwa kuwa Kituo cha kusimamia Demokrasia nchini Tanzania , ambao umepanga kujadili masuala ya Demokrasia , ikiwemo Katiba Mpya , Tume Huru ya Uchaguzi na Sheria za Uchaguzi , leo umeingia siku ya pili , Mkutano huu umefadhiliwa na Ubalozi wa Marekani .

Sina tatizo na mkutano huu muhimu , Tatizo langu kwenye mkutano huu ni Uwepo wa Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi na kupewa heshima ya kuwa Mgeni Rasmi .

Hussein Mwinyi aliingia madarakani 2020 kwenye uchaguzi ambao ulivunja rekodi ya mauaji ya chaguzi zote zilizowahi kufanyika Zanzibar , wapinzani walidhibitiwa vilivyo , huko Pemba walipigwa mabomu hadi vikongwe , ulikuwa uchaguzi wa hovyo kuliko wowote niliowahi kuushudia tangu nipate akili , Zipo tetesi kwamba kulikuwa na majeshi kutoka Burundi ama Rwanda yaliyokodiwa na Serikali ili kudhibiti Wapinzani kikatili zaidi .

Hussein Mwinyi hakuwahi kuomba radhi kwa unyama ule , Kiongozi wa namna hii hakupaswa kuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa Kidemokrasia kama huu wenye lengo la kuboresha Mazingira ya Uchaguzi na demokrasia .

Ni vema waandaji wa Mikutano kama hii wakajaribu kutuheshimu (hata kwa heshima ya uongo) sisi Wananchi tulioona hali ile na ambao bado hatujasahau , waheshimiwe wafiwa na Yatima waliopoteza ndugu zao kutokana na uchaguzi ule
mmmmh
 
Back
Top Bottom