SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
dawa ya deni kulipa........
Na hakuna siri ya watu wawili....
du siri ya mtu mmoja ndo inakuwaje?
dawa ya deni kulipa........
Na hakuna siri ya watu wawili....
hao sie tunawaita CNN
Hapo maswali yanaanza... ilikuwaje mzee ukatoka na limama kama lile...
du siri ya mtu mmoja ndo inakuwaje?
Dunia kijiji sasa hivi sio mtaani tu.Ni nchi nzima wanajua.We kopa halafu mtu aje jamvini hapa si dunia washajua.Maige kakopa crdb kanunua nyumba mbezi beach.