Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Watu wengine bwana si waastaarabu hata kidogo, sijui wamejiumbaje umbaje??
Wewe unafanya kitu au jambo na mtu mkiwa wawili tu, lakini unakwenda mtaani unatangaza ili iweje? Mtu ulikuwa naye wewe na yeye mbaaaali na mnapoishi lakini baada ya siku moja tu mtaa mzima unajua, huu nao ni ustaarabu? Umemkopesha hela mtu kimya kimya lakini anapofanikiwa au anaposhindwa kulipa mzee unaanza kubwabwaja mtaani kwamba ulimkopesha hela.
Si kila jambo unalomfanyia mtu mwingine ulitangaze kwa watu, kuwa na "Kifua" ndugu yangu!!
Wewe unafanya kitu au jambo na mtu mkiwa wawili tu, lakini unakwenda mtaani unatangaza ili iweje? Mtu ulikuwa naye wewe na yeye mbaaaali na mnapoishi lakini baada ya siku moja tu mtaa mzima unajua, huu nao ni ustaarabu? Umemkopesha hela mtu kimya kimya lakini anapofanikiwa au anaposhindwa kulipa mzee unaanza kubwabwaja mtaani kwamba ulimkopesha hela.
Si kila jambo unalomfanyia mtu mwingine ulitangaze kwa watu, kuwa na "Kifua" ndugu yangu!!