figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
mmmhh hongereni zenu..
hahahaaaa....!!. mia
mmmhh hongereni zenu..
Habari zenu
Tujaribu kidogo basi :boxing::boxing:round 3 tu...:eyebrows:Ndo maana mi niliomba radhi mapema kabisa wakati namwambia namlaiki...................... Usinidunde tu tafadhali!
mimi chaguo langu ni EXCELLENT,ASHADII,MWITA25,FAIZAFOXY.REJAO,PK NA MODS WOTE.asanteni kwa usikivu.
Kaka huwezi kuwakumbuka wote bhana na we unatakiwa kuwaongeza na ndio maana kukawa na sehemu ya list inaendeleaNzuri sana Dena, nashangaa wamekusahau! Usiwajali sana, mimi natambua na kufurahia uwepo na michango yako.
Inawezekana ile ban aliyopewa ya mwaka mzima kisha akatoka kwa parole ndio ilifanya uhisi kawa mpyaNimesahau,FF ni member ambaye alikuwepo kama hakuwepo ila yupo...
Hivyo anaingia kwenye listi ya members ambaye ni relatively new to me, licha ya kwamba alijiunga toka 2007 sawa na mimi...
Alaaaaa.....kumbe ndio maana umetembelea profile yangu mara 4000......:eyebrows:....Mia
Hamna wa kumridhisha humu zaidi yangu mimi
Sawa ila under one condition............anayeshinda zawadi inakuwa Lizzy
Ila spidi yako siku hizi ni kama umeuza lile v8 lako ukanunua Land Rover 109