Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Napenda kutoa shukrani zangu kwa Bw Mengi na timu nzima ya ITV, kwa kuweka historia ya mapambano/ demokrasia Tanzania kwa kuweza kutoa coverage ya 3hrs kwa CHAMA CHA UPINZANI, hata kama ni kulipia lakini kupata huo muda ni kama ndoto, lakini kwa hapo mwanzo ilikuwa ni vigumu, na kwa taarifa zisizo rasmi ilisemekana watu wa ITV walikataa kufanya Biashara na Chadema (niko tayari kurekebishwa)
Mengi wewe ni Mpiganaji wa kweli lakini bado sijajua kwa nini unakuwa Mguu ndani/nje na nachelea kusema haya yote yamefanyika ni kwa sababu ya ile njama ya mwanao iliyotaka kutokea pale JKN airport na ki ukweli hukupata support ya maana kutoka serikalini, na kwa kuanzia ulianza na Guardian na ile kashfa ya msg za kumchafua Dr Slaa
pamoja na hayo yote, mimi binafsi ninaona ni mipango ya Mungu tu, hata kama umelipwa kwa mdahalo wa leo lakini thamani ya hizo fedha haziwezi kabisa kulingana na idadi ya watu waliopokea huu ujumbe, nilikaa na kujiuliza hivi tangu siku ya mwanzo ungeamua kufanya hii kitu nadhani watanzania wote wangekuwa wako tayari kumkaribisha Mh Slaa Ikulu kwa ushindi wa kishindo na wala kampeni zisingekuwa ndefu, za gharama na za kuchosha,
ushauri wangu ni kuwa kwa hizo siku zilizobakia mnaweza kurudia huu mdahalo kwa hata siku mbili tu, say kesho Jpili na siku moja ya katikati ya wiki ili hata kwa wale waliokatiwa umeme na kwa wale ambao Mh Dr Slaa atashindwa kuwafikia basi nao wajue Slaa anataka kufanya MAbadiliko ya aina gani na kwa jinsi gani ataonyesha maisha bora kwa kila mTanzania kwa vitendo
Mengi wewe ni Mpiganaji wa kweli lakini bado sijajua kwa nini unakuwa Mguu ndani/nje na nachelea kusema haya yote yamefanyika ni kwa sababu ya ile njama ya mwanao iliyotaka kutokea pale JKN airport na ki ukweli hukupata support ya maana kutoka serikalini, na kwa kuanzia ulianza na Guardian na ile kashfa ya msg za kumchafua Dr Slaa
pamoja na hayo yote, mimi binafsi ninaona ni mipango ya Mungu tu, hata kama umelipwa kwa mdahalo wa leo lakini thamani ya hizo fedha haziwezi kabisa kulingana na idadi ya watu waliopokea huu ujumbe, nilikaa na kujiuliza hivi tangu siku ya mwanzo ungeamua kufanya hii kitu nadhani watanzania wote wangekuwa wako tayari kumkaribisha Mh Slaa Ikulu kwa ushindi wa kishindo na wala kampeni zisingekuwa ndefu, za gharama na za kuchosha,
ushauri wangu ni kuwa kwa hizo siku zilizobakia mnaweza kurudia huu mdahalo kwa hata siku mbili tu, say kesho Jpili na siku moja ya katikati ya wiki ili hata kwa wale waliokatiwa umeme na kwa wale ambao Mh Dr Slaa atashindwa kuwafikia basi nao wajue Slaa anataka kufanya MAbadiliko ya aina gani na kwa jinsi gani ataonyesha maisha bora kwa kila mTanzania kwa vitendo