Yaani kwa kipindi cha miaka 4 sijawahi experience shida ya umeme iliyopo sasa. Sijawahi kumuamini bwana January lakini hata wakati akiwa waziri umeme ulikuwa haukati hivi.
Sasa hivi ni week sasa ikifika saa moja au mbili wanapita na umeme walianza wanarudisha saa 12 naona jana wamerejesha saa 2 leo sijui watarejesha saa ngapi. Yaani sisi tunaotegemea biashara zinazohitaji umeme tumekwisha kabisa.
Hii nchi ni rahisi sana kuwa kiongozi hata huhitaji kuumiza kichwa kutatua changamoto maana chawa watakutetea kwani yeye ndiye anayeleta mvua.
Sasa hivi ni week sasa ikifika saa moja au mbili wanapita na umeme walianza wanarudisha saa 12 naona jana wamerejesha saa 2 leo sijui watarejesha saa ngapi. Yaani sisi tunaotegemea biashara zinazohitaji umeme tumekwisha kabisa.
Hii nchi ni rahisi sana kuwa kiongozi hata huhitaji kuumiza kichwa kutatua changamoto maana chawa watakutetea kwani yeye ndiye anayeleta mvua.