Tumia cheti Cha form four Mkuu usome diploma ya uandishi wa HabariNaomba kuuliza,
Kwa matokeo haya form 6 je, unaweza soma course gani chuoni na kwa Level gani?
H-F K-E L-E na GS -E Division iii point ya 17
Je, mtu huyu ataenda kusoma course gani ambayo itamsaidia mbeleni.
Naomba msaada wadau.
Boss hapa ualimu gani utafaa...Msingi au secondary kwa ngazi ya Diploma?Nenda uwalimu kisha tafuta shule iliyopo mjini ya serikali kama ukipata ajira kisha unajiendeleza.
Au nenda polisi kisha ukajiendeleze utanishukuru.
ila vijana vya vyuo ni wabishi
Boss hapa ualimu gani utafaa...Msingi au secondary kwa ngazi ya Diploma?
Kabla ya hapo nilisomea Ualimu wa msingi kwa Grade la III AMsingi itakusaidia kufanya mambo kiuraisi na mda wa kujisomesha kama unapigana
Kabla ya hapo nilisomea Ualimu wa msingi kwa Grade la III A
So mwaka jana nikatafuta centre ya Mtihani wa form 6 nikafanya ndo nkapata hayo matokeo,nilikua najisomea mwenyewe bila mwalimu....Bado pia nasubiri Ajira toka serikalini nilimalza 2019
Vigezo gani wanatumia boss...sijaenda JKT,utaratibu upoje kaka
Aende Lumumba atakuwa kada wa CCM , awe na maneno mengi ya kusifu viongozi , agombee nafasi Za uongozi. Baada muda si mrefu anaweza akawa Bashite mwengineNaomba kuuliza,
Kwa matokeo haya form 6 je, unaweza soma course gani chuoni na kwa Level gani?
H-F K-E L-E na GS -E Division iii point ya 17
Je, mtu huyu ataenda kusoma course gani ambayo itamsaidia mbeleni.
Naomba msaada wadau.