Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Dogo usidanganyike. Hakuna Kiongozi mwenye mipango wala nia ya dhati ya kwenda Ikulu! Mtasubiri sana. Watabaki kuwadanganya kwamba wameibiwa kura!! Zindukeni vijana!_mujidanganye ivo ivo but time will tell!