kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Nikiangalia mambo haya napata wasiwasi kama uchaguzi utakuwa free and fair kwa tafsiri yoyote kwani chama tawala:-
1. Kinatisha wapiga kura kwa kutumia wanajeshi
2. Kimeshatangaza matokeo ya kura na nec hawajawakoromea maana yake wamekubaliana nayo
3. Kutumia vyombo vya umma kujinadi, huku vyama vingine vingipewa negative coverage
4. Mgombea wao wa urais kuvunja sheria za uchaguzi kwa kila siku kuhutubia zaidi ya muda unaoruhusiwa
5. Kutumia magari na rasilimali nyingine za serikali kufanya kampeni
6. Kutumia bajeti kubwa ya uchaguzi kuliko iliyokubaliwa na vyama na tume ya uchaguzi huku tendwa akiangalia
7. Kutoa rushwa waziwazi na takukuru wakiangalia
ningeshauri vyama vingine vilalamikie hali hii
1. Kinatisha wapiga kura kwa kutumia wanajeshi
2. Kimeshatangaza matokeo ya kura na nec hawajawakoromea maana yake wamekubaliana nayo
3. Kutumia vyombo vya umma kujinadi, huku vyama vingine vingipewa negative coverage
4. Mgombea wao wa urais kuvunja sheria za uchaguzi kwa kila siku kuhutubia zaidi ya muda unaoruhusiwa
5. Kutumia magari na rasilimali nyingine za serikali kufanya kampeni
6. Kutumia bajeti kubwa ya uchaguzi kuliko iliyokubaliwa na vyama na tume ya uchaguzi huku tendwa akiangalia
7. Kutoa rushwa waziwazi na takukuru wakiangalia
ningeshauri vyama vingine vilalamikie hali hii