Kitunguunyanya
Member
- Mar 18, 2011
- 15
- 0
Kwakweli cha kufanya mchue leo hii hii mwende akapime kama ni yakwako kweli utajua 2 maana itakua haina hata mwezi ukiona inamwezi na zaidi ujue ulikua unabebeswa mzigo usio wako
mhh tatizo mi siamini kama its true sababu naona kama napewa mzigo ambao sijui umetoka wapi
Bila kinga umecheza alafu matokeo hutaki?Wanaume wengi wa aina yako hua wanaumbuka sana na kuanza kulia oh namtaka mwanangu!Ukimkana sasa hivi kwakujifanya mtaalamu wa bailojia jihakikishie huyo dada akikuambia leo hii haya niache sio wako..hutarudi kumsumbua dada wa watu baada ya kuhangaika na malezi ya mwanzo mwenyewe!Kama hutaki leo hata kesho ukiona anafanana kama wewe mwache sio unajipeleka na kuleta usumbufu!
Mpendwa nimeshuhudia wengi kweli wa sampuli yake!Kuna mmoja mpaka leo anamlalamikia mama mtoto na mama anamwambia huyo sio mtoto tena ni mtu mzima...kama unamtaka ongea nae mwenyewe maana mtoto ana miaka 21 na anamwambia mzee wake baba yangu ni aliyenikubali na kunilea!We sikujui wala sikutaki!Mwingine mwaka jana tu mtoto kazaliwa anafanana nae kama kachongwa alafu ndo anarudi kuomba wakati alishakana mpaka kuapa!Nashukuru sana Lizzy, Eee bwana umesikia hiyo.
Natumaini nyinyi ni wazima wa afya. Naombeni unitatulie ili jambo kwa kunisaidia kwani nina girl friend siku nne zilizopita kaniambia anaisi ana mimba ila mimi ninamashaka kwani ameniambia haoni siku zake.
Mimi linalonitatiza ni mwezi uliopita wa pili tarehe 5 ndo alipata hedhi ila nami nilido naye tarehe 6 mwezi huu so kinachoonekana kwa upande wangu siku yake imepita mpaka tarehe 6 hakuona je inawezekana akapata mimba kwa iyo tarehe niliye do nae?
MY TAKE;
Iyo tarehe aliyopata hedhi mwezi uliopita ameniambia wakati nikimuoji kabla sijamwambia tarehe 6 mwezi huu niliye do nae.
Mpendwa nimeshuhudia wengi kweli wa sampuli yake!Kuna mmoja mpaka leo anamlalamikia mama mtoto na mama anamwambia huyo sio mtoto tena ni mtu mzima...kama unamtaka ongea nae mwenyewe maana mtoto ana miaka 21 na anamwambia mzee wake baba yangu ni aliyenikubali na kunilea!We sikujui wala sikutaki!Mwingine mwaka jana tu mtoto kazaliwa anafanana nae kama kachongwa alafu ndo anarudi kuomba wakati alishakana mpaka kuapa!
Umeshanikoroga kabisa hapo.
Kumbe huwa mndo nae mara kwa mara sasa kinachokushangaza nini?? Ulikuwa unategemea upande mapera uvune maembe?? Hiiyo ngumu mzigo ndo wako hivyo
Hapo kwenye red,come on Sokon 1,give us a break,hujui hiyo mimba ilitoka wapi? are you serious kabisa kabisa? Haya bana ni kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.mhh tatizo mi siamini kama its true sababu naona kama napewa mzigo ambao sijui umetoka wapi
Hatua zipi uchukue tena,hatua ulishachukua long time kwa kuamua kupuyanga,we andaa bill ya maziwa na hela ya kindergarten (siku hizi kindergarten nzuri dola mia tano kwa term,kwa mwaka alfu mia tano).Offer ya nepi na beseni Husniyo keshakupa we m PM tu. Huo ndo ukubwa wenzio tushapita huko kwa sana na sasa hivi tumetundika daluga.wala sijakukoroga sababu ya kusema sio mara ya kwanza ku do naye ni kwamba mimi na yeye ha2jakutana takribani miezi minne ila niliporudi nilishangaa m2 kunihitaji mpaka 2ligombana ila sijukua wat its behind ndo baada ya wiki akatulia hakuja home ila ananipa izo habari ndio maana nikaomba ushauri wenu kabla sijachukua hatua.
Hapo kwenye red,come on Sokon 1,give us a break,hujui hiyo mimba ilitoka wapi? are you serious kabisa kabisa? Haya bana ni kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
Kijana kanimaliza kabisa,sina nguvu,halafu looks like story ni ya ukweli ,na ukiangalia zaidi kai edit alfajiri saa 12 leo,ina maana hakulala huyo usiku kucha anapinduka kitandani,kulea mchezo? na bado yuko chuo.Hebu sema wewe shemeji maana mie naona haya
Natumaini nyinyi ni wazima wa afya. Naombeni unitatulie ili jambo kwa kunisaidia kwani nina girl friend siku nne zilizopita kaniambia anaisi ana mimba ila mimi ninamashaka kwani ameniambia haoni siku zake.
Mimi linalonitatiza ni mwezi uliopita wa pili tarehe 5 ndo alipata hedhi ila nami nilido naye tarehe 6 mwezi huu so kinachoonekana kwa upande wangu siku yake imepita mpaka tarehe 6 hakuona je inawezekana akapata mimba kwa iyo tarehe niliye do nae?
MY TAKE;
Iyo tarehe aliyopata hedhi mwezi uliopita ameniambia wakati nikimuoji kabla sijamwambia tarehe 6 mwezi huu niliye do nae.
kitanda hakizai haramu!! huu niwangu ushauri tu!!