SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Natumaini nyinyi ni wazima wa afya. Naombeni unitatulie ili jambo kwa kunisaidia kwani nina girl friend siku nne zilizopita kaniambia anaisi ana mimba ila mimi ninamashaka kwani ameniambia haoni siku zake.
Mimi linalonitatiza ni mwezi uliopita wa pili tarehe 5 ndo alipata hedhi ila nami nilido naye tarehe 6 mwezi huu so kinachoonekana kwa upande wangu siku yake imepita mpaka tarehe 6 hakuona je inawezekana akapata mimba kwa iyo tarehe niliye do nae?
MY TAKE;
Iyo tarehe aliyopata hedhi mwezi uliopita ameniambia wakati nikimuoji kabla sijamwambia tarehe 6 mwezi huu niliye do nae.
Mimi linalonitatiza ni mwezi uliopita wa pili tarehe 5 ndo alipata hedhi ila nami nilido naye tarehe 6 mwezi huu so kinachoonekana kwa upande wangu siku yake imepita mpaka tarehe 6 hakuona je inawezekana akapata mimba kwa iyo tarehe niliye do nae?
MY TAKE;
Iyo tarehe aliyopata hedhi mwezi uliopita ameniambia wakati nikimuoji kabla sijamwambia tarehe 6 mwezi huu niliye do nae.