Mimba ni kitega uchumi kwa mabinti wa sasa

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Jun 20, 2022
1,215
2,995
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...

Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida moja hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadilishana namba za simu.

Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.

Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.

Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao
 
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...

Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida mojaa hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadirishana namba za simu.

Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.

Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.

Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao
Mimba ya wiki mbili kaijuaje sasa? Hata test wanaambiwa wakafanye angalau wiki tatu baada ya game.

Ukiendelea na huo mchezo wa kupiga kavu, utapata unachokitafuta.
 
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...

Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida mojaa hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadirishana namba za simu.

Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.

Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.

Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao

downloadfile(4).jpg
 
๐™‰๐™–๐™ค๐™ฃ๐™œ๐™š๐™ฏ๐™š๐™– ๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™– ๐™ช๐™ ๐™ž๐™Ÿ๐™– ๐™ฉ๐™ค๐™ฌ๐™ฃ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™ฅ๐™ž๐™œ๐™ฌ๐™– ๐™ฏ๐™– ๐™ช๐™จ๐™ค ๐˜ฝ๐™–๐™–๐™™๐™๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™–๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™ฎ๐™–๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ค๐™ฅ๐™ž๐™ข๐™– ๐™๐™ž๐™ฎ๐™ค ๐™ข๐™ž๐™ข๐™—๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ก๐™– ๐™™๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฃ๐™– ๐™—๐™ž๐™ฃ๐™ฉ๐™ž ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™–๐™จ๐™š๐™ข ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ข๐™—๐™– ๐™๐™–๐™ก๐™–๐™› ๐™—๐™ž๐™ฃ๐™ฉ ๐™–๐™ฃ๐™–๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช ๐™›๐™ค๐™ง๐™˜๐™š ๐™ž๐™ฉ๐™ค๐™ก๐™š๐™ฌ๐™š ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™– ๐™œ๐™๐™–๐™ง๐™–๐™ข๐™– ๐™ฃ๐™ž 50๐™  .๐™ ๐™ž๐™™๐™ช๐™ข๐™š ๐™ช๐™ฃ๐™ ๐™–๐™ฏ๐™–๐™ฃ ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™›๐™ฉ๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™ข๐™ฅ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™œ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฃ๐™– ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง๐™ž #๐˜ฝ๐™€_๐˜พ๐˜ผ๐™๐™€
 
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...

Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida mojaa hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadirishana namba za simu.

Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.

Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.

Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao
Pole Kwa kuchakatwa Hela zako
 
๐™‰๐™–๐™ค๐™ฃ๐™œ๐™š๐™ฏ๐™š๐™– ๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™– ๐™ช๐™ ๐™ž๐™Ÿ๐™– ๐™ฉ๐™ค๐™ฌ๐™ฃ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™ฅ๐™ž๐™œ๐™ฌ๐™– ๐™ฏ๐™– ๐™ช๐™จ๐™ค ๐˜ฝ๐™–๐™–๐™™๐™๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™–๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™ฎ๐™–๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ค๐™ฅ๐™ž๐™ข๐™– ๐™๐™ž๐™ฎ๐™ค ๐™ข๐™ž๐™ข๐™—๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ก๐™– ๐™™๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฃ๐™– ๐™—๐™ž๐™ฃ๐™ฉ๐™ž ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™–๐™จ๐™š๐™ข ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ข๐™—๐™– ๐™๐™–๐™ก๐™–๐™› ๐™—๐™ž๐™ฃ๐™ฉ ๐™–๐™ฃ๐™–๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช ๐™›๐™ค๐™ง๐™˜๐™š ๐™ž๐™ฉ๐™ค๐™ก๐™š๐™ฌ๐™š ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™– ๐™œ๐™๐™–๐™ง๐™–๐™ข๐™– ๐™ฃ๐™ž 50๐™  .๐™ ๐™ž๐™™๐™ช๐™ข๐™š ๐™ช๐™ฃ๐™ ๐™–๐™ฏ๐™–๐™ฃ ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™›๐™ฉ๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™ข๐™ฅ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™œ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฃ๐™– ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง๐™ž #๐˜ฝ๐™€_๐˜พ๐˜ผ๐™๐™€
Nalijua Sana Hilo mkuu Kuna mwana ni daktari huwa ananipaga ishu hizo kuwapiga hela wanaume kupitia mimba
 
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...

Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida mojaa hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadirishana namba za simu.

Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.

Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.

Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao
Hahaha


 
๐™‰๐™–๐™ค๐™ฃ๐™œ๐™š๐™ฏ๐™š๐™– ๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™– ๐™ช๐™ ๐™ž๐™Ÿ๐™– ๐™ฉ๐™ค๐™ฌ๐™ฃ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™ฅ๐™ž๐™œ๐™ฌ๐™– ๐™ฏ๐™– ๐™ช๐™จ๐™ค ๐˜ฝ๐™–๐™–๐™™๐™๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™–๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™ฎ๐™–๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ค๐™ฅ๐™ž๐™ข๐™– ๐™๐™ž๐™ฎ๐™ค ๐™ข๐™ž๐™ข๐™—๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ก๐™– ๐™™๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฃ๐™– ๐™—๐™ž๐™ฃ๐™ฉ๐™ž ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™–๐™จ๐™š๐™ข ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ข๐™—๐™– ๐™๐™–๐™ก๐™–๐™› ๐™—๐™ž๐™ฃ๐™ฉ ๐™–๐™ฃ๐™–๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช ๐™›๐™ค๐™ง๐™˜๐™š ๐™ž๐™ฉ๐™ค๐™ก๐™š๐™ฌ๐™š ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™– ๐™œ๐™๐™–๐™ง๐™–๐™ข๐™– ๐™ฃ๐™ž 50๐™  .๐™ ๐™ž๐™™๐™ช๐™ข๐™š ๐™ช๐™ฃ๐™ ๐™–๐™ฏ๐™–๐™ฃ ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™›๐™ฉ๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™ข๐™ฅ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™œ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฃ๐™– ๐™™๐™–๐™ ๐™ฉ๐™–๐™ง๐™ž #๐˜ฝ๐™€_๐˜พ๐˜ผ๐™๐™€
Njaa zingine hizi kwahiyo hapo wanagawana kiasi gani?
 
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...

Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida moja hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadilishana namba za simu.

Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.

Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.

Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao
Kiukweli lengo lake alilokwambia hivyo alitaka akupige pesa ya kutolea hiyo mimba, ila alivyoona huna mpango wa kuitoa akaamua akupige pesa ya kutunza ujauzito.
Siku hizi kuna biashara ambayo hailipi kodi ya kununua haja ndogo za wajawazito ili kuwapiga watu noti kwa kisingizio cha kwenda kutoa mimba
 
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...

Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida moja hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadilishana namba za simu.

Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.

Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.

Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao
Wewe ulijiona mjanja ukawa unachakata kufidia gharama mwenzako ni mjanja zaidi akakupiga for not less than 6 solid months.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Mtoa mada wewe ndo tatizo Kwa sababu zifuatazo.
1. Commiting unprotected sex . Kufanya mapenzi bila kutumia Kinga Ili hali unajua kwamba chochote chaweza kutokea including mimba and alike.
2. Uzembe wako. Kumwamini mwanamke kupita kiasi utaanzaje kutuma hela bila kujiridhisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom