Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata...
Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida moja hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadilishana namba za simu.
Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.
Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.
Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao
Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida moja hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana mpaka tukabadilishana namba za simu.
Tukafahamiana zaidi mpaka kujikuta tunanzisha mahusiano miezi miwili ya mwanzo nilihustle kidume vijizawadi na hela ya matumizi ili nimuweke karibu nilifanikiwa kwa Hilo.
Baada ya mwezi 1 kupita nikapewa tunda kwa Mara ya kwanza nilipeleka Moto ipasavyo ili nifidie gharama zangu zote.
Ikapita Kama wiki siku moja mchumba mtoto wa Arusha akaanza kulalamika tumbo linazingua anajisikia homa na kichefuchefu ikabid nimpeleka clinic kuchek afya bahati nzuri ilikuwa sio mimba Kama tulivyowaza ni homa tu akapewa treatment na dawa za kutumia kwa siku kadhaa akawa fine.
Baada ya kupewa tunda Tena kwa siku kadhaa Hali Ile ikajirudia Tena kwa kipindi icho tulikuwa mbali mikoa tofauti ikabidi aende mwenyewe kucheki afya sikujua kilicho endelea nilipewa tu taarifa ana mimba ya wiki 2 ikabidi kidume nipambanane mama kijacho awe safe nilituma Sana hela kipindi kile kwa ajili ya matumizi na maandalizi mengine ikapita Kama miezi 6 nikarudi jiji aliokuwepo nilimkuta yupo kawaida ikanitia mashaka baada ya kumuuliza akasema mimba bado ni changa tumbo haliwezi kuonekana.
Kufupisha story baada ka kumpeleleza Sana hakuwa na mimba Wala kitambi ilikuwa mbinu ya kunipiga hela kwa hasira nilichakata mbususu mfululizo afu nikamuacha.
Wanaume wabinti wa Sasa baadhi yao ni matapeli wakikwambia ana mimba jiridhishe kwanza halafu utoe hela ya kutunza mimba hasa wakikuona uwezo wa kulea mimba unao