Barnaba Fumbo Member Nov 17, 2023 13 16 Dec 20, 2023 #1 Unamshauri aina gani ya biashara ambayo mtu mwenye mtaji ya 800K anaweza kuifanya?
M Mjanja M1 JF-Expert Member Oct 7, 2018 3,660 12,306 Dec 20, 2023 #2 Uza Mahindi, au chips, au kuku. KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Lemme say this JF-Expert Member Nov 4, 2023 397 1,064 Dec 20, 2023 #3 Barnaba Fumbo said: Unamshauri aina gani ya biashara ambayo mtu mwenye mtaji ya 800K anaweza kuifanya? Click to expand... Laki 3 ama laki 8?
Barnaba Fumbo said: Unamshauri aina gani ya biashara ambayo mtu mwenye mtaji ya 800K anaweza kuifanya? Click to expand... Laki 3 ama laki 8?
EMMYGUY JF-Expert Member Aug 6, 2015 10,850 24,826 Dec 20, 2023 #4 Fungua mgahawa wa chakula, hakikisha asubuhi uwe na supu ya mbuzi ama kondoo na chapati. Ajiri wadada wawili kama msaada hapo ofisini kwako. Nakutakia mafanikio mema mkuu.
Fungua mgahawa wa chakula, hakikisha asubuhi uwe na supu ya mbuzi ama kondoo na chapati. Ajiri wadada wawili kama msaada hapo ofisini kwako. Nakutakia mafanikio mema mkuu.
Half american JF-Expert Member Sep 21, 2018 26,144 68,468 Dec 21, 2023 #6 Upo wapi na unataka kufanyia wapi biashara?