FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
unatisha kama radi mmhHehehe inajificha mama kama mm nimepata demu mlokole na mm najifanya mlokole huku namega nikiwa nae maombi mwanzo mwisho hata pombe naweka pembeni.
unatisha kama radi mmhHehehe inajificha mama kama mm nimepata demu mlokole na mm najifanya mlokole huku namega nikiwa nae maombi mwanzo mwisho hata pombe naweka pembeni.
Nilale wakati leo nimerudi mkavu ndo napoteza mda ili kuche mapema.
Huyu binti mlokole juzi aliniomba nipige sala ya kulala nikachemka mm nikapiga za kikatoliki dah nikaambulia patupu ucku mzima uso wa mbuzi.
Mhh tabia ya mtu haijifichi bana!
nampenda sana mke wangu si unajua c washosha ng'ombe kwa mapenzi ndo usiseme?hata yeye hlo anakili but why?
aisee hebu explain hapa.. inaonekana una experience hehe!Siku nyingine uwe unaoga maji badiri ukinyimwa chakulaila sijui kama itasaidia