Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Dada zangu hivi kwa nini wengi wenu sio wote lakini before marriage mnakuwa wapole na kuonesha nia ya mme mtarajiwa kuvutiwa na kuolewa nanyi lakini mkiwa ndani ya nyumba basi yanaanza makucha yaliojificha kuonekana.....swali ni kwamba,hivi before marriage kwa nini yote yasionekane jamani?nasema hivyo maana yananikuta na sijui la kufanya maana mie ni mkristu na ndoa imefungwa hakuna wa kuivunja na hili waliooa wengi wamekutana nalo na mkiudhiwa tu usiku mkate hauliki,je hiyo dada zangu si unynysaji wa jinsia na unyimaji haki za mwanaume katika ndoa?