Penda msipende kwa kijana yeyote aliye CCM au anayejiunga na CCM kwa sasa aidha ni kwa kwa maslahi fulani binafsi, au kapewa fulana au anaupungufu wa kufikiri kutokana na ujinga (ujasiri wa kiwendawazimu) lakini si kwa uzalendo kutokana na CCM ilivyo kwa sasa.