Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
kumbuka uhuru wa kusema katupa JK kuna nchi kama china na nchi za kiarabu kama Irani na Saudi Arabia wanfunga mitandao kama hii. tumpongeze Jk kwa kuwa baba wa demokrasi ya kweli na ndio inamtafuna.
Uhuru maana yake nini? Kwanini Mbeya alipigwa mawe?