Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,630
- 51,814
Wakuu, tukubali magari ya umeme yanazidi kuongezeka kwa kasi sana ndani ya hii miaka mitano. Na inavoelekea yatazidi kuongezeka maradufu. Mfano tu angalia hii chart nimeitoa Wikipedia.
Sasa kwa rate hii, nina imani na Tanzania sio muda tutaonesha ubabe wa kuagiza hizi chuma.
Mchawi ni gharama na Watu kuogopa issue ya mafundi.
Tukianza na gharama, sasa imekua sio issue tena.
Makampuni makongwe kama Tesla, wana offer gari mpya kwa bei kubwa sana unakuta Model 3 inauzwa $60,000/= mpya. Ukinunua used ndio unakuta $35,000/= kabla ya TRA. Bado yamoto sana.
Hawa Wachina BYD wamekuja kusolve issue ya bei kwa kutuletea gari mpya hadi ya $13,000/= imagine.
Hawa jamaa mwaka jana wameajiri mainjinia zaidi ya 20,000 kwenye Research & Development Department tu. Hii inamaanisha vitu vingi vizuri vipo njiani.
Mwaka huu 2024 wamekuja na hii gari BYD e2 Honor Edition kea bei ya $13,000/= tu.
Theoretically hadi sasa ikiwa full charge inatembea Kilometa 400, Motor 70kW, Battery 4.9kWh, maximum speed ni 130 kph, Output power 94HP, uzito wake 1340 kg, Fast Charge 0.5 hours na Slow charger 6 hours izo ni baadhi.
Sasa kama serikali yetu sikivu kupitia TRA wakafanya mchakato kama walivyohaidi kwamba magari ya umeme yatakua na ushuru bure basi itapendeza sana.
Watu watajiripua, tutaenjoy magari mazuri bila makelele mengi njiani na eco friendly.
Pia serikali ingeanza kwa kuonesha mfano kwa kuingiza mabasi ya Mwendokasi yawe ya umeme na magari ya baadhi ya mashirika yawe ya umeme, mfano posta delivery ya mizigo mjini.
Sasa kwa rate hii, nina imani na Tanzania sio muda tutaonesha ubabe wa kuagiza hizi chuma.
Mchawi ni gharama na Watu kuogopa issue ya mafundi.
Tukianza na gharama, sasa imekua sio issue tena.
Makampuni makongwe kama Tesla, wana offer gari mpya kwa bei kubwa sana unakuta Model 3 inauzwa $60,000/= mpya. Ukinunua used ndio unakuta $35,000/= kabla ya TRA. Bado yamoto sana.
Hawa Wachina BYD wamekuja kusolve issue ya bei kwa kutuletea gari mpya hadi ya $13,000/= imagine.
Hawa jamaa mwaka jana wameajiri mainjinia zaidi ya 20,000 kwenye Research & Development Department tu. Hii inamaanisha vitu vingi vizuri vipo njiani.
Mwaka huu 2024 wamekuja na hii gari BYD e2 Honor Edition kea bei ya $13,000/= tu.
Theoretically hadi sasa ikiwa full charge inatembea Kilometa 400, Motor 70kW, Battery 4.9kWh, maximum speed ni 130 kph, Output power 94HP, uzito wake 1340 kg, Fast Charge 0.5 hours na Slow charger 6 hours izo ni baadhi.
Sasa kama serikali yetu sikivu kupitia TRA wakafanya mchakato kama walivyohaidi kwamba magari ya umeme yatakua na ushuru bure basi itapendeza sana.
Watu watajiripua, tutaenjoy magari mazuri bila makelele mengi njiani na eco friendly.
Pia serikali ingeanza kwa kuonesha mfano kwa kuingiza mabasi ya Mwendokasi yawe ya umeme na magari ya baadhi ya mashirika yawe ya umeme, mfano posta delivery ya mizigo mjini.