stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 2,310
- 2,736
Gari ya umeme ni expensive Kuliko gari ya mafuta, labda kama unazungumzia Bajaji na piki piki au gari inayozunguka posta na karikaoo pekee na Mwenge au SinzaNi kweli lakini gari una charge tu inakwenda hakuna cha kuweka mafuta hio huoni kimahesabu ni nafuu sana, halafu lifespan ya battery si kwamba kila mwaka unabadili, ukifanya mahesabu utagundua gari ya mafuta ina gharama kiuendeshaji.
Mfano mtu anayeendesha Fortuner au V8 vipi akitumia SUV ya umeme, ameokoa pesa kiasi gani..