johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,958
- 146,169
Huo ni utaratibu wa kawaida sana Hata hapa huwa tunafanya!Pia ilitangazwa tangu awali rais wa Tanzania atapandishwa basi?
Huo ni utaratibu wa kawaida sana Hata hapa huwa tunafanya!Pia ilitangazwa tangu awali rais wa Tanzania atapandishwa basi?
LijikondaEmbu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.
Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!
Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.
Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?
Duh ww jamaa bhana, una uhakika Biden aligoma.?Mfano rahisi na dhahiri ni Rais wa USA (Biden) aligoma kupandishwa basi na alitumia usafiri wake binafsi.
Wakati wa mazishi ya baba wa taifa hapa Bongo, marais waliohudhuria walipanda mabasi kwenda uwanja wa taifa. Hakuna cha ajabu hapa. Utaratibu wa kupanda mabasi uliwekwa wazi, kama mtu hataki hakulazimishwa kwenda. Vile vile ukweli utabaki kuwa ukweli rais wa USA hawezi kulinganishwa na wa nchi za ulimwengu wa kwetu.Embu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.
Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!
Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.
Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?
Marais wa Afrika wakiwa mbele ya mfalme au Malkia ni kama tu ma DC.Embu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.
Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!
Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.
Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?
Ulotaka ahojiwe kwani alichaguliwa na wananchi??Kule alikuwa na hadhi ya afisa mtendaji kata. Nilishangaa pamoja na waandishi kuwatafuta viongozi wanawake kutoka kwenye nchi mbalimbali na kuwahoji, wa kwetu alipotezewa kabisa.
Achana na Ruto,Ruto atajadiliwa na wakenya,Samia ni wakwetu lazima tumjadiliKwani Ruto akitumia usafiri gani?
Lumumba mnashida gani? Swali linahusu Samia wewe unarukia Ruto? Nani kawaloga?Kwani Ruto akitumia usafiri gani?
Kwani hao makomandoo walialikwa huko mpaka asafiri nao?..Na MAKOMANDOO wanaomlinda aliwaacha wapi, hotelini?
Savimbi acha fujoAchana na Ruto,Ruto atajadiliwa na wakenya,Samia ni wakwetu lazima tumjadili
Wao wenyewe waliratibu usalama wa matukio ya mazishi wamarekaniBiden dege lake lilibeba Magari na mazagazaga yote ya kiusalama
Huo ilikuwa utaratibu wa kiProtocali acha uzwazwa! Kwani yuko peke yake.Embu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.
Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!
Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.
Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?