Kwa hiyo Mama Samia kule London alichagua kupanda basi au alilazimishwa?

Embu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.

Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!

Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.

Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?
Lijikonda
 
Embu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.

Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!

Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.

Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?
Wakati wa mazishi ya baba wa taifa hapa Bongo, marais waliohudhuria walipanda mabasi kwenda uwanja wa taifa. Hakuna cha ajabu hapa. Utaratibu wa kupanda mabasi uliwekwa wazi, kama mtu hataki hakulazimishwa kwenda. Vile vile ukweli utabaki kuwa ukweli rais wa USA hawezi kulinganishwa na wa nchi za ulimwengu wa kwetu.
 
Embu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.

Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!

Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.

Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?
Marais wa Afrika wakiwa mbele ya mfalme au Malkia ni kama tu ma DC.

Bado ukoloni upo.
 
Kule alikuwa na hadhi ya afisa mtendaji kata. Nilishangaa pamoja na waandishi kuwatafuta viongozi wanawake kutoka kwenye nchi mbalimbali na kuwahoji, wa kwetu alipotezewa kabisa.
Ulotaka ahojiwe kwani alichaguliwa na wananchi??
 
Embu tuweke ushabiki pembeni, sasa tujadili hili.

Ni kweli rais wetu mpendwa mama Samia ameoneka kwenye msiba wa malkia wa Uingereza akiwa ndani ya basi, na picha mnato ikionyesha kama hakupenda kupigwa ile picha, yaani hakuwa comfortable kivileee!

Sasa kwa namna tulivyozoea kuona akiwa ziara za ndani hapa Tanzania Rais Samia huwa na msururu wa magari ya kifahari, akisindikizwa na helkopita huku shughuli zote za kijamii zikisimama kwenye mazingira ya barabara kwa muda wa saa kadhaa ili kupisha tu msafara wa rais kwa kigezo cha kiusalama. Kwa namna yoyote tukio la kupandishwa basi rais Samia haliwezi kupita bila kujadiliwa. Ni lazima tu tutalijadili tu.

Kama kupandishwa kule basi ulikuwa ni utaratibu wa wenyeji wake huko Uingereza, je Rais Samia alikubaliana nao au alilazimishwa?
Katika mazingira yale, rais wetu alikuwa salama kiasi gani?
Wakati rais Samia yuko kwenye basi, walinzi wake walikuwa wapi?
Mbona kuna marais wengine (sio kutoka Afrika) walikuwa kwenye magari binafsi na misafara maalum, vipi rais Samia ashindwe kupewa msafara wake ikiwa anataka hayo?
Huo ilikuwa utaratibu wa kiProtocali acha uzwazwa! Kwani yuko peke yake.
 
King Charles the Third ni by de facto, Mkuu wa nchi ya Tanzania. Kwahiyo lazima Samia Hussein aufyate. Akiwa huku angalau atafute reputable ESL course, hata Oxford University since she can afford the fees through the myriad taxes and levies ili aache kuchanganya Kiingereza chake cha Kizanzibar/Kipakistan na Kiswahili kwenye hotuba zake. Marais wa Angola au Ivory Coast hawachanganyi Kireno na Kifaransa na lugha zao wakihutubia. Juzi nimemsikiliza, anazungumza Kiingereza sentensi 2/3 halafu anaingiza Kiswahili, halafu anarudia Kiingereza. She was totally incomprehensible.
 
Back
Top Bottom