babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,288
hiyo siyo tanzania
naona mtu kama Lulu
ama kweli
hata bila watu kama hawa matokeo ya 2012,hayana sababu ya kuftwa,hao nao wameamuona kuonesha makalio yao.
Huwa wanakaguliwa hadi sare za ndani? Naona wametupiamo black wote.
hiyo ni kenya si tanzania
Mbona kama kunafanana na Sekondari ya Mkwawa enzi hizo. Nikisema Loyola, wao hawavai sketi za rangi hiyo