babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,288
- Thread starter
- #21
Yaani we acha tuu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
hahahaha,umenyong'onyea mkuu
Yaani we acha tuu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kawambwa ni janga la Taifa!
ahahahaha huwezi amini kama ni kweli tza lakini ndio ukweli wenyewe na ndio kizazi tulicho nacho
hhaaaa, wanamwaga radhii, mnavyokodoa mimacho udenda unawatokaaaa, mtajiju
Huwa wanakaguliwa hadi sare za ndani? Naona wametupiamo black wote.
na hki ndo kizazi cha bata sasa,full majanga
Mkuu ngoma ya Tosa Boys. Tulikuwa hatupatani kabisa na Mkwawa High School kwa ajili ya Zoo (Iringa Girls SS.hahaha,kumbe nawe ulipitamo mkwawa
haya majanga ni MAN MADE
Mkuu ngoma ya Tosa Boys. Tulikuwa hatupatani kabisa na Mkwawa High School kwa ajili ya Zoo (Iringa Girls SS.
Atakua katoa picha kylist ama mashada.